Je, wazee kutaka haki itendeke kwa Luhaga Mpina na Hussein Bashe kuepuka kukigawa chama?

Je, wazee kutaka haki itendeke kwa Luhaga Mpina na Hussein Bashe kuepuka kukigawa chama?

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Kuna kila Dalili Mh Mpina wanataka kumuumiza ili kuzima hoja zake. Wanataka tumia hoja yakutoa jalada kwa wananchi wakati aliagizwa na spika.

Hoja hii haina mashiko kwa sababu Mh Mpina bungeni anawajibika kwa kiti ila pia anawajibika kwa wananchi hivyo kutoa hoja zake nje ya bunge sio sababu yakumuwajibisha maana alikuwa anawathibitishia wana nchi sio Muongo na kama muongo Alie pewa shutuma ajibu au aende mahakamani.

Tatizo linakuja madam spika anataka kumuumiza mbunge kuzima hoja ya singing jambo linaleta ukakasi ktk muhimili huu.

Wazee wanaona kwamba ikiwa spika atamuwajibisha basi ni dhahiri shahiri kutakuwa na vuguvugu kali ndani ya chama jambo litafanya chama kutoeleweka.

Kumekuwa na hoja nyingi juu ya Mh waziri wa kilimo na uwenda kwa sasa wale walikuwa wakimuaminia wanapaswa kumuondoa.

Ila tetesi zinaonyesha kijana amejuwa kucheza na mioyo ya viongozi kiasi hayo mnayaona uwenda kila mtu kapewa mkate wake na ndio maana unaona hataa madam kiti ame panic wakati yeye ndio alipaswa kumuona kijana ni mzalendo je siri ni nini?

Nakwawale mnamjuwa huyu mama amekuwa akiwazodoa nakuwaweka wabunge kiti moto ila this time kisu kimegusa mfupa. Anaona sasa hata kiti uwenda kikamuacha kwa hili tukio.

- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili
 
Kuna kila Dalili Mh Mpina wanataka kumuumiza ili kuzima hoja zake. Wanataka tumia hoja yakutoa jalada kwa wananchi wakati aliagizwa na spika.

Hoja hii haina mashiko kwa sababu Mh Mpina bungeni anawajibika kwa kiti ila pia anawajibika kwa wananchi hivyo kutoa hoja zake nje ya bunge sio sababu yakumuwajibisha maana alikuwa anawathibitishia wana nchi sio Muongo na kama muongo Alie pewa shutuma ajibu au aende mahakamani.

Tatizo linakuja madam spika anataka kumuumiza mbunge kuzima hoja ya singing jambo linaleta ukakasi ktk muhimili huu.

Wazee wanaona kwamba ikiwa spika atamuwajibisha basi ni dhahiri shahiri kutakuwa na vuguvugu kali ndani ya chama jambo litafanya chama kutoeleweka.

Kumekuwa na hoja nyingi juu ya Mh waziri wa kilimo na uwenda kwa sasa wale walikuwa wakimuaminia wanapaswa kumuondoa.

Ila tetesi zinaonyesha kijana amejuwa kucheza na mioyo ya viongozi kiasi hayo mnayaona uwenda kila mtu kapewa mkate wake na ndio maana unaona hataa madam kiti ame panic wakati yeye ndio alipaswa kumuona kijana ni mzalendo je siri ni nini?

Nakwawale mnamjuwa huyu mama amekuwa akiwazodoa nakuwaweka wabunge kiti moto ila this time kisu kimegusa mfupa. Anaona sasa hata kiti uwenda kikamuacha kwa hili tukio.

- Hatua za kikanuni za Bunge zitakazochukuliwa dhidi ya Luhaga Mpina ziambatane na hatua muafaka za kikatiba za CCM kumng'atua
Tulia naye ni mwizi na fisadi sana maana kiti chake kinatumika sana kulinda wezi na mafisadi nchi hii, ref. Alivyo izima riport ya CAG. Hawa wamama wawili wakuu wa mihimili hawa wakati ufike wakae pemben hawana uimara wa ku deal na usahili wa nchi hii.
 
Hawa wenye mamlaka sijui huwa wanatumia nini kufikiri
Wanajua kabisa wamefanya Madudu alafu wanachokoza hoja kushinikiza waambiwe ukweli
Wameshapewa walichotaka wanaanza kuhaha tena
Wakae mbele wajibu hoja waache blabla

Hilo suala lilikuwa linawezekana kuzimwa vizuri tu lakini kwa jeuri yao walitaka kumkomesha mpina kwa kumpa kazi ya kuthibitisha sasa hawaamini macho yao

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Inashangaza sana, CCM ni chama kinachofukarisha wananchi

Licha kwamba wananchi tunalipa kodi, bado tena viongozi wa ccm wanatufanyishia biashara

Tuhuma za mtu aliyepewa tenda ya kuingiza sukari nchini kupewa ruksa ya kuongeza 1000 juu, ni kitendo cha kumwibia mwananchi ili mtu fulani na ama kikundi kinufaike na pesa hizi haramu

Laana ya Magharibi, kusini, kasikazini na kusini ziwaangukie viongozi hao waovu na vizazi vyao vyote

Na kila mwenye pumzi aseme Amina
 
Kuna kila Dalili Mh Mpina wanataka kumuumiza ili kuzima hoja zake. Wanataka tumia hoja yakutoa jalada kwa wananchi wakati aliagizwa na spika.

Hoja hii haina mashiko kwa sababu Mh Mpina bungeni anawajibika kwa kiti ila pia anawajibika kwa wananchi hivyo kutoa hoja zake nje ya bunge sio sababu yakumuwajibisha maana alikuwa anawathibitishia wana nchi sio Muongo na kama muongo Alie pewa shutuma ajibu au aende mahakamani.

Tatizo linakuja madam spika anataka kumuumiza mbunge kuzima hoja ya singing jambo linaleta ukakasi ktk muhimili huu.

Wazee wanaona kwamba ikiwa spika atamuwajibisha basi ni dhahiri shahiri kutakuwa na vuguvugu kali ndani ya chama jambo litafanya chama kutoeleweka.

Kumekuwa na hoja nyingi juu ya Mh waziri wa kilimo na uwenda kwa sasa wale walikuwa wakimuaminia wanapaswa kumuondoa.

Ila tetesi zinaonyesha kijana amejuwa kucheza na mioyo ya viongozi kiasi hayo mnayaona uwenda kila mtu kapewa mkate wake na ndio maana unaona hataa madam kiti ame panic wakati yeye ndio alipaswa kumuona kijana ni mzalendo je siri ni nini?

Nakwawale mnamjuwa huyu mama amekuwa akiwazodoa nakuwaweka wabunge kiti moto ila this time kisu kimegusa mfupa. Anaona sasa hata kiti uwenda kikamuacha kwa hili tukio.

- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadil

Kuna kila Dalili Mh Mpina wanataka kumuumiza ili kuzima hoja zake. Wanataka tumia hoja yakutoa jalada kwa wananchi wakati aliagizwa na spika.

Hoja hii haina mashiko kwa sababu Mh Mpina bungeni anawajibika kwa kiti ila pia anawajibika kwa wananchi hivyo kutoa hoja zake nje ya bunge sio sababu yakumuwajibisha maana alikuwa anawathibitishia wana nchi sio Muongo na kama muongo Alie pewa shutuma ajibu au aende mahakamani.

Tatizo linakuja madam spika anataka kumuumiza mbunge kuzima hoja ya singing jambo linaleta ukakasi ktk muhimili huu.

Wazee wanaona kwamba ikiwa spika atamuwajibisha basi ni dhahiri shahiri kutakuwa na vuguvugu kali ndani ya chama jambo litafanya chama kutoeleweka.

Kumekuwa na hoja nyingi juu ya Mh waziri wa kilimo na uwenda kwa sasa wale walikuwa wakimuaminia wanapaswa kumuondoa.

Ila tetesi zinaonyesha kijana amejuwa kucheza na mioyo ya viongozi kiasi hayo mnayaona uwenda kila mtu kapewa mkate wake na ndio maana unaona hataa madam kiti ame panic wakati yeye ndio alipaswa kumuona kijana ni mzalendo je siri ni nini?

Nakwawale mnamjuwa huyu mama amekuwa akiwazodoa nakuwaweka wabunge kiti moto ila this time kisu kimegusa mfupa. Anaona sasa hata kiti uwenda kikamuacha kwa hili tukio.

- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili
Tuwe na utamaduni wa kushambulia hoja siyo mtu, Madam spika amembana Mpina as Mpina not his hoja! Hoja za Mpina if true, zinapaswa kuwa sehemu ya mabadiliko siyo maumivu.
 
Kuna kila Dalili Mh Mpina wanataka kumuumiza ili kuzima hoja zake. Wanataka tumia hoja yakutoa jalada kwa wananchi wakati aliagizwa na spika.

Hoja hii haina mashiko kwa sababu Mh Mpina bungeni anawajibika kwa kiti ila pia anawajibika kwa wananchi hivyo kutoa hoja zake nje ya bunge sio sababu yakumuwajibisha maana alikuwa anawathibitishia wana nchi sio Muongo na kama muongo Alie pewa shutuma ajibu au aende mahakamani.

Tatizo linakuja madam spika anataka kumuumiza mbunge kuzima hoja ya singing jambo linaleta ukakasi ktk muhimili huu.

Wazee wanaona kwamba ikiwa spika atamuwajibisha basi ni dhahiri shahiri kutakuwa na vuguvugu kali ndani ya chama jambo litafanya chama kutoeleweka.

Kumekuwa na hoja nyingi juu ya Mh waziri wa kilimo na uwenda kwa sasa wale walikuwa wakimuaminia wanapaswa kumuondoa.

Ila tetesi zinaonyesha kijana amejuwa kucheza na mioyo ya viongozi kiasi hayo mnayaona uwenda kila mtu kapewa mkate wake na ndio maana unaona hataa madam kiti ame panic wakati yeye ndio alipaswa kumuona kijana ni mzalendo je siri ni nini?

Nakwawale mnamjuwa huyu mama amekuwa akiwazodoa nakuwaweka wabunge kiti moto ila this time kisu kimegusa mfupa. Anaona sasa hata kiti uwenda kikamuacha kwa hili tukio.

- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili

Panga pangua Baraza la mawaziri. Anayepigiwa kelele kufyekelewa mbali​

 
Back
Top Bottom