zhang laoshi
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 434
- 581
1990 kama sikoseiIna cc ngapi kwanza maana hapo ndipo penye ugumu
Usifananishe xtrail na vitu vya ajabuHilo ni mwenzake na Nissan Xtrail kumbe!
Usifananishe xtrail na vitu vya ajabu
Sent using Jamii Forums mobile app
umesahau kuongeza Toyota port, duet na willyToyota Vista na Toyota Platz, hayo magari hata ukinipa bure sichukui. Yani siyapendi kinyama.
Ha haa. Porte sina noma nayo... It looks so funny!
[emoji12][emoji12]anyway...hatufanani katika suala la kipendacho roho....nikiwaza ule mlango wa abiria...basi hamu yote inaniisha...kingine ike dash ilivyowekwa center...hapo ndipo nilipoichoka porte, raumu, Ist, vitz, x trail, fun cargo, sienter, Noah new model pamoja na voxy na nyinginezo......Ha haa. Porte sina noma nayo... It looks so funny!
dash board center si mpango,,[emoji12][emoji12]anyway...hatufanani katika suala la kipendacho roho....nikiwaza ule mlango wa abiria...basi hamu yote inaniisha...kingine ike dash ilivyowekwa center...hapo ndipo nilipoichoka porte, raumu, Ist, vitz, x trail, fun cargo, sienter, Noah new model pamoja na voxy na nyinginezo......
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha kama ulikuwa kichwani mwangu, sijui Toyota walikuwa wanawaza nini wakati wanaunda ule uchafu.
Gari zenye dashboard kati kati ukoo mzima unaona jamaa sasa hivi yupo 140 km/h mama mkwe anakwambia baba punguza spidi..hatuna haraka...[emoji12][emoji12]anyway...hatufanani katika suala la kipendacho roho....nikiwaza ule mlango wa abiria...basi hamu yote inaniisha...kingine ike dash ilivyowekwa center...hapo ndipo nilipoichoka porte, raumu, Ist, vitz, x trail, fun cargo, sienter, Noah new model pamoja na voxy na nyinginezo......
Sent using Jamii Forums mobile app