Je wewe au ndugu /jamaa anatatizo la kutoka damu puani? pita hapa nikuelekeze jinsi ya dawa.

Kwanini unuie? Na kwanini usimame mbele ya mlango wa nyumba?

Je, hii dawa yako ni ya kisayansi?
 
Yaan damu inavuja kisha nichukue bakuli nikinge ? Seriously???? Tens baadae niiweke jikon ichemka????? ...Ww utakuwa mchaw au wale wanao UA albino sio bure
 
í ½í¸‚ í ½í¸‚ jf bhana! yaan mpaka ma witch doctor wana thread zao
 
Utapingwa sana humu...lakini angekuwa mzungu aaaah mbona ingepita tu bila pingamizi
 
Utapingwa sana humu...lakini angekuwa mzungu aaaah mbona ingepita tu bila pingamizi
Shida sio uzungu, sasa tangu lin ukaambiwa kua ukitaka kumeza panadol nuia kwanza?
 
Hizo panado zenyewe zina masharti yake...utaambiwa kutwa mara tatu, sasa jitoe ufahamu umeze tatu mara moja uone
Unapaswa uwe na fikra yakinifu kwanye haya mambo la sivyo utateseka sana.
Shida sio uzungu, sasa tangu lin ukaambiwa kua ukitaka kumeza panadol nuia kwanza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…