Je, wewe ni fundi ujenzi mzuri? Una uwezo wa kujenga ghorofa

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Na je, una gharama nafuu, uko certified!?. Njoo tuyajenge kuna kazi ya ghorofa moja Bunju Moga wiki ijayo kazi inatakiwa ianze. Kila kitu kipo tayari, material, labour fees, permits, vitendea kazi, saruji nk. Njoo chapchap DM tujadili na ulete offer yako.

Foundation ni 17×21 katika vipimo vya Mita.
 
Nikupe namba ya fundi mtambo?
Huyo mzee ana balaa.na hata huko unapojenga ana kazi zake.
Sema nikupe namba zake
 
Yes ni fundi....Nishajenga ,nipe kazi.

Vibali unavyo vya manispaa? Mirunda,Marines,mbao 2x2,2x4 zipo?
 
Kuna fundi nilishamtumia, ana uzoefu na hizo kazi ana elimu ya kawaida, ameshajenga fremu za juu na chini dar na kibaha, na sasa yuko Songea kwa kazi hiyo hiyo.
 
Nipe tender ya pavers na frame & panel za milango mzeya
 
Fundi chuma unaye mkuu
 
Mm ni fundi mzuri na mkongwe pia.
Ila sipo certified.

Na hizi na baadhi ya kazi zangu
0655173113
 
Kuna Mshikaji wangu anaitwa ni fundi mzuri sana na hizo ndo kazi zake akimjengea ghorofa yule alikuwa Naibu kamishina wa Bandari anaitwa Sijuwi Mazura ghorofa yake ipo Makongo yupo vizuri sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…