Mti wa Chuma
JF-Expert Member
- Jul 2, 2015
- 331
- 99
Kama wewe ni mjasiriamali unataka kuanza biashara hii inaweza ikakufaa,
Karibu...
Biashara ya kuku wa kienyeji.
Hii ni biashara inayolipa sana kama utafanya kwa juhudi haihitaji mtaji mkubwa. Na faida yake/mafanikio hupatikana ndani ya muda mfupi kwa kuwa soko ni la uhakika kama utauza kwenye masoko au kwenye mahoteli.
Unahitaji kuku wa kienyeji?
-Bei ya majike (mtetea) Tsh10,000-Tsh14,000
-Bei ya majogoo Tsh14,000-Tsh18,000
-Bei ya vifaranga Tsh7,000. Bei hizi ni kwa jumla na si rejareja, atakayechukua kuku wengi atapata punguzo la 3% unaweza kuagiza kuanzia kuku 50+ na ukatumiwa ukiwa kwenye mikoa ya Singida, Manyara, Arusha, Kilimanjaro na Dar es salaam tu.
Karibu...
Biashara ya kuku wa kienyeji.
Hii ni biashara inayolipa sana kama utafanya kwa juhudi haihitaji mtaji mkubwa. Na faida yake/mafanikio hupatikana ndani ya muda mfupi kwa kuwa soko ni la uhakika kama utauza kwenye masoko au kwenye mahoteli.
Unahitaji kuku wa kienyeji?
-Bei ya majike (mtetea) Tsh10,000-Tsh14,000
-Bei ya majogoo Tsh14,000-Tsh18,000
-Bei ya vifaranga Tsh7,000. Bei hizi ni kwa jumla na si rejareja, atakayechukua kuku wengi atapata punguzo la 3% unaweza kuagiza kuanzia kuku 50+ na ukatumiwa ukiwa kwenye mikoa ya Singida, Manyara, Arusha, Kilimanjaro na Dar es salaam tu.