Je, yaliyomo kwenye vitabu vyote vya Dini ni kama hekaya za Abunuasi?

Je, yaliyomo kwenye vitabu vyote vya Dini ni kama hekaya za Abunuasi?

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,959
Reaction score
24,935
Kwanza naomba niombe Radhi kwa wale ambao watachukizwa na Andiko langu pia naomba pia vile vichwa vilivyosomea mambo ya dini vikija vije na majibu yenye fact na sio kutishana,

Je yaliyomo kwenye vitabu vya Dini vyote ni kama Hadithi za Ekaya za Abunuasi ?

Mwanzo kabla Ya wazungu kuja Africa mababu zetu walikuwa wanatumia miungu kama ndio mkombozi wao,hakukuwa na dini lakini kila walichoomba walitimiziwa kwa wakati,

IMG_20181007_174937_768.jpeg


Lakini baada ya kuja tu watu jamii tofauti na waafrika eg wazungu na waraabu walikuja na neno DINI ,
Wazungu wao walikuja na Dini ya kikristo na vivyo hivyo waarabu walikuja na dini ya kiislamu,

Kutokana na mafundisho yao waliweza kuwahadaa mababu zetu mwisho wa siku waliweza kupenyeza Dini zao katika jamii zetu,

Tuzungumzie sasa vitabu vilivyoletwa kwa nia ya kutangaza hizo Dini hapo kuna Biblia kwa upande wa kikristo na Quran kwa Upande Wa islam,

Ukifatilia maandiko yake yamejaa hadithi tena zile Hadithi za kale ambazo kwa upande mwingine unaweza kusema ni hadithi zilizotungwa kwa mpangilio furani,

Lakini kama ni hadithi kweli kwa nini zitungwe na kusambazwa kwa muktadha wa neno Dini,na je watunzi wa hizo hadithi walikuwa na wana lengo gani kutunga na kuleta hadithi hizo?

Vitabu vyote kwa upande wa islam na Christian zina hadithi zinazofanana 95% kasoro majina ya wahusika na Maeneo yake lakini ukivisoma kwa ufasaha utagundua ni kama mtunzi alikuwa mmoja lakini akavitofautisha kwa ustadi mkubwa sana kama ni kweli kwa nini avitofautishe?

Binafsi nina imani katika Mungu lakini sina imani katika Dini kwa sababu moja tu Mungu alikuwepo toka enzi ata kabla ya kuletwa kwa dini.



IMG_20181007_174952_180.jpeg
 
Kwanza naomba niombe Radhi kwa wale ambao watachukizwa na Andiko langu pia naomba pia vile vichwa vilivyosomea mambo ya dini vikija vije na majibu yenye fact na sio kutishana,

Je yaliyomo kwenye vitabu vya Dini vyote ni kama Hadithi za Ekaya za Abunuasi ?

Mwanzo kabla Ya wazungu kuja Africa mababu zetu walikuwa wanatumia miungu kama ndio mkombozi wao,hakukuwa na dini lakini kila walichoomba walitimiziwa kwa wakati,

View attachment 889834

Lakini baada ya kuja tu watu jamii tofauti na waafrika eg wazungu na waraabu walikuja na neno DINI ,
Wazungu wao walikuja na Dini ya kikristo na vivyo hivyo waarabu walikuja na dini ya kiislamu,

Kutokana na mafundisho yao waliweza kuwahadaa mababu zetu mwisho wa siku waliweza kupenyeza Dini zao katika jamii zetu,

Tuzungumzie sasa vitabu vilivyoletwa kwa nia ya kutangaza hizo Dini hapo kuna Biblia kwa upande wa kikristo na Quran kwa Upande Wa islam,

Ukifatilia maandiko yake yamejaa hadithi tena zile Hadithi za kale ambazo kwa upande mwingine unaweza kusema ni hadithi zilizotungwa kwa mpangilio furani,

Lakini kama ni hadithi kweli kwa nini zitungwe na kusambazwa kwa muktadha wa neno Dini,na je watunzi wa hizo hadithi walikuwa na wana lengo gani kutunga na kuleta hadithi hizo?

Vitabu vyote kwa upande wa islam na Christian zina hadithi zinazofanana 95% kasoro majina ya wahusika na Maeneo yake lakini ukivisoma kwa ufasaha utagundua ni kama mtunzi alikuwa mmoja lakini akavitofautisha kwa ustadi mkubwa sana kama ni kweli kwa nini avitofautishe?

Binafsi nina imani katika Mungu lakini sina imani katika Dini kwa sababu moja tu Mungu alikuwepo toka enzi ata kabla ya kuletwa kwa dini.



View attachment 889887
Neno dini means NJIA (muongozo)hakuna mwanadamu ambae hana dini..
Speaking of Dini
Dini ama njia Amma muongozo upo ulio sahihi Na usio sahihi..
Na dini sahihi(muongozo) alianza kupewa adamu(a.s) mpaka Muhammad (s.a.w)
Huwezimfikia mungu kwa usalama kama unatumia dini(muongozo) batili.
Na nini kitakachokujulisha ubatili Na usahihi wa dini iqraq soma vitabu vya dini kwa usahihi pata mjuzi wa kukuelewesha tumia akili yako vizuri ..mungu atakuongoza ufike kwenye njia yake iliyo sahihi..
 
Haya mambo ya dini ukiyafikiria sana utajikuta unaanza kuishi kama mkimbizi ndani ya mwili na nafsi mwenyewe
Ok ngoja nikae siti ya mbele kabisa nisubiri waje
 
Kwanza naomba niombe Radhi kwa wale ambao watachukizwa na Andiko langu pia naomba pia vile vichwa vilivyosomea mambo ya dini vikija vije na majibu yenye fact na sio kutishana,

Je yaliyomo kwenye vitabu vya Dini vyote ni kama Hadithi za Ekaya za Abunuasi ?

Mwanzo kabla Ya wazungu kuja Africa mababu zetu walikuwa wanatumia miungu kama ndio mkombozi wao,hakukuwa na dini lakini kila walichoomba walitimiziwa kwa wakati,

View attachment 889834

Lakini baada ya kuja tu watu jamii tofauti na waafrika eg wazungu na waraabu walikuja na neno DINI ,
Wazungu wao walikuja na Dini ya kikristo na vivyo hivyo waarabu walikuja na dini ya kiislamu,

Kutokana na mafundisho yao waliweza kuwahadaa mababu zetu mwisho wa siku waliweza kupenyeza Dini zao katika jamii zetu,

Tuzungumzie sasa vitabu vilivyoletwa kwa nia ya kutangaza hizo Dini hapo kuna Biblia kwa upande wa kikristo na Quran kwa Upande Wa islam,

Ukifatilia maandiko yake yamejaa hadithi tena zile Hadithi za kale ambazo kwa upande mwingine unaweza kusema ni hadithi zilizotungwa kwa mpangilio furani,

Lakini kama ni hadithi kweli kwa nini zitungwe na kusambazwa kwa muktadha wa neno Dini,na je watunzi wa hizo hadithi walikuwa na wana lengo gani kutunga na kuleta hadithi hizo?

Vitabu vyote kwa upande wa islam na Christian zina hadithi zinazofanana 95% kasoro majina ya wahusika na Maeneo yake lakini ukivisoma kwa ufasaha utagundua ni kama mtunzi alikuwa mmoja lakini akavitofautisha kwa ustadi mkubwa sana kama ni kweli kwa nini avitofautishe?

Binafsi nina imani katika Mungu lakini sina imani katika Dini kwa sababu moja tu Mungu alikuwepo toka enzi ata kabla ya kuletwa kwa dini.



View attachment 889887
Sawa sawa
 
Kwanza naomba niombe Radhi kwa wale ambao watachukizwa na Andiko langu pia naomba pia vile vichwa vilivyosomea mambo ya dini vikija vije na majibu yenye fact na sio kutishana,

Je yaliyomo kwenye vitabu vya Dini vyote ni kama Hadithi za Ekaya za Abunuasi ?

Mwanzo kabla Ya wazungu kuja Africa mababu zetu walikuwa wanatumia miungu kama ndio mkombozi wao,hakukuwa na dini lakini kila walichoomba walitimiziwa kwa wakati,

View attachment 889834

Lakini baada ya kuja tu watu jamii tofauti na waafrika eg wazungu na waraabu walikuja na neno DINI ,
Wazungu wao walikuja na Dini ya kikristo na vivyo hivyo waarabu walikuja na dini ya kiislamu,

Kutokana na mafundisho yao waliweza kuwahadaa mababu zetu mwisho wa siku waliweza kupenyeza Dini zao katika jamii zetu,

Tuzungumzie sasa vitabu vilivyoletwa kwa nia ya kutangaza hizo Dini hapo kuna Biblia kwa upande wa kikristo na Quran kwa Upande Wa islam,

Ukifatilia maandiko yake yamejaa hadithi tena zile Hadithi za kale ambazo kwa upande mwingine unaweza kusema ni hadithi zilizotungwa kwa mpangilio furani,

Lakini kama ni hadithi kweli kwa nini zitungwe na kusambazwa kwa muktadha wa neno Dini,na je watunzi wa hizo hadithi walikuwa na wana lengo gani kutunga na kuleta hadithi hizo?

Vitabu vyote kwa upande wa islam na Christian zina hadithi zinazofanana 95% kasoro majina ya wahusika na Maeneo yake lakini ukivisoma kwa ufasaha utagundua ni kama mtunzi alikuwa mmoja lakini akavitofautisha kwa ustadi mkubwa sana kama ni kweli kwa nini avitofautishe?

Binafsi nina imani katika Mungu lakini sina imani katika Dini kwa sababu moja tu Mungu alikuwepo toka enzi ata kabla ya kuletwa kwa dini.



View attachment 889887
Hao mababu zetu hizo imani zao walizitoa wapi?
 
Back
Top Bottom