Shirikisho hatua ya mtoanoJe yanga akimtoa zalan fc na yeye ( yanga) akatolewa na Al hilal au St George ataangukia shirikisho au ndio imetoka hiyo??
Similarly to Simba??
unalala unaiota Al Hilal, pigeni tizi kupunguza idadi ya magoli,mpigwe hata 3 tuJe, na Al Hilal akitolewa na Nyasa Big Bullet anaelekea wapi? Maana kuna sehemu nimesoma, kocha wao anajiamini kweli!
Mm ni simba ila ni wazi kabisa Utopolonyi watampiga nyingi huyu msudan ...maana hawa jamaa tayari washa omba mechi zote wachezee dsmyanga haiwezi kumtoa zalan.
CAF wanakosa gani kama vigezo ni kua bingwa kutoka kwenye nchi mwanachama ?Mm ni simba ila ni wazi kabisa Utopolonyi watampiga nyingi huyu msudan ...maana hawa jamaa tayari washa omba mechi zote wachezee dsm
Mie naona CAF ni wajinga sana kuikubalia timu kama ile icheze michuano ya CAF CL yaan ni aibu club inatumia kiwanja hakina ata nyasi hii ni aibuuu
Hua mnaviherehereYanga Kapewa Wa Kigango chake Zalan, preliminary atapita Ila Sasa hapo pa kukutana Na AL Hilal ndo itakuwa 'Kalale pema peponi Kamanda'...!
Isipokuwa advantage aliyonayo Yanga akiingia Makundi Hata shirikisho itakuwa ni Mafanikio makubwa Sana...Kwa 'Simba Akiingia Makundi Sio Mafanikio tena Bali ni kuvuka Robo fainali...