Sema TABU LELE kwa sauti ya kichokozi ya Ali Kamwe.Yanga tumeshajiandaa kuwapoteza hao tutashusha vyuma vingine tabu iko palepale
TABULELEESema TABU LELE kwa sauti ya kichokozi ya Ali Kamwe.
Picha inaonyesha Aziz ki akisepa na Kijiji cha beki za kolo[emoji23]Picha mbili ni za beki zilizoizuia Al Ahly ya Percy Muzi Tau isifunge goli za kutoshaView attachment 2806277View attachment 2806278
Max Nzengeli ni mchezaji wa kupita Yanga. Akiendelea kukiwasha hivi msimu ujao hatakuwepo Yanga.Inafahamika kwa Sasa namna ambavyo team nyingi kubwa afrika kwa Sasa zinavyohangaika kutafuta makocha na wachezaji wazuri watakaoleta sio TU ushindi Bali pia mpira wenye furaha na burudani kwa mashabiki wao.
Gamondi kocha wa yanga ameonesha kiwango kikubwa sana pamoja na mchezaji Max katika kuleta ushindi na burudani ya soccer
Endapo Gamondi atafanikiwa kuipiga Al Ahly nje ndani kwenye Cafcl basi miamba hiyo ya Cairo itaweka zaidi ya bilioni 3 kwa ajili ya Gamondi na Max ili kuboresha kikosi Chao
Hii ndio gharama ya kufanya vizuri Viva yanga
Safari hii list inaweza kuwa ndefu kuliko msimu uliopita labda kama michuano ya CAF Yanga ikifika mbali.Inafahamika kwa Sasa namna ambavyo team nyingi kubwa afrika kwa Sasa zinavyohangaika kutafuta makocha na wachezaji wazuri watakaoleta sio TU ushindi Bali pia mpira wenye furaha na burudani kwa mashabiki wao.
Gamondi kocha wa yanga ameonesha kiwango kikubwa sana pamoja na mchezaji Max katika kuleta ushindi na burudani ya soccer
Endapo Gamondi atafanikiwa kuipiga Al Ahly nje ndani kwenye Cafcl basi miamba hiyo ya Cairo itaweka zaidi ya bilioni 3 kwa ajili ya Gamondi na Max ili kuboresha kikosi Chao
Hii ndio gharama ya kufanya vizuri Viva yanga
RaaaaaaaaaaahTABULELEE
Huyu hakuna namna atapoa gari ni imewaka sema nadhani uongozi umeshachungulia replacement yake ila kukaa haiwezekani maana hata umri unamruhusu sanaMax Nzengeli ni mchezaji wa kupita Yanga. Akiendelea kukiwasha hivi msimu ujao hatakuwepo Yanga.
Hawa wataondoka hakuna namna kama Yao ndio kabisa hasa makundi yatauza sana maana naona Yanga anamaliza kinara wa kundi na kwa mpira huu wa kina Wydad basi yanga anacheza final CafclSafari hii list inaweza kuwa ndefu kuliko msimu uliopita labda kama michuano ya CAF Yanga ikifika mbali.
1) Gamond
2) Pacome
3) Yao Kwasi
4) Max
5) Aziz Ki
Nani kakuambia yupo kwa mkopo?Yote yanawezekana ila mwisho wa siku lazima waondoke. Max yuko kwa mkopo Yanga hivyo kuondoka ni jambo linalowezekana wakati wowote.
Wapigwe hata 10 ili hii ya tuliwapiga 5-0 nyinyi mmetupiga 5-1 ife kabisa maana bado wana midomodomo wapigwe mwanaukome moja matata midomo iache kuongea mwaka mzima,game ijayo ni 7