Gamondi ameboresha sana mbinu za ufundishaji watamtaka TU nawajua walesera ya al ahly ni tofauti sana,hawawezi kuja kumchukua gamondi wala max,ukumbuke gamondi amefundisja muda mrefu sana afrika kaskazini na kipindi chote hicho ahly hawakuwanna shida nae na hata alivyorudi kwao,pia hawakumfuata,hivyo hawawezi kumchukua kwa sasa,wao wanataka kocha mwenye viwango vya juu sana
...huyu jamaa ananikosha sana na accent (lafudhi) yake anapojibu maswali ya waandishi wa habari, ananivunja mbavu zaidi akiskia swali na akiwa analiweka sawa ...he is super Gamondi 👌Master Gamondi
Point [emoji120][emoji120]Kwenye mpira haiko hivyo. Gamondi akifanya vizuri na Yanga champions league hata hao Ahly watataka kuwa naye hakuna linaloshindikana. Kwani kilichowafanya wamchukue kocha Pitso na mchezaji Percy Tau toka Mamelody ni nini?
Mama ndio tishio kwa sasa [emoji848][emoji848]Maxi hawezi kuondoka mwakani wala Gamondi. Ila baada ya hiyo miaka miwili inawezekana. Na hilo sio ajabu kutokea kwenye mpira.
Hii Yanga itavurugwa tu labda siku akiondoka Gsm na Eng Hersi Said akichukuliwa na mama namba moja akaitumikie nchi.
Tuwapige nyingi nyingine wafunge midomodomo kabisa Mimi wananiudhi Simba midomodomo mingi wanaongea sana hadi wakandwe tena hata 10 hivi ndio watashona midomo na walie zaidiWalitufunga 5 tukiwa pungufu wwchezaji 2,timu yenyewe ilikua mbovu na tulikua ndani ya mgogoro,wao tumewafunga ikiwa hiki ndio kikosi chao cha dhahabu wanachotamba nacho na kudanganyana wao timu kubwa afrika 😃
Huu ni ukweli hawataki kusema wanaficha sana na mashabiki wao wengi hawajuiWalitufunga 5 tukiwa pungufu wwchezaji 2,timu yenyewe ilikua mbovu na tulikua ndani ya mgogoro,wao tumewafunga ikiwa hiki ndio kikosi chao cha dhahabu wanachotamba nacho na kudanganyana wao timu kubwa afrika [emoji2]
Tuwapige nyingi nyingine wafunge midomodomo kabisa Mimi wananiudhi Simba midomodomo mingi wanaongea sana hadi wakandwe tena hata 10 hivi ndio watashona midomo na walie zaidiView attachment 2806523
Derby ya boca junior na river plate sio ya kitoto ni mechi haswaHuyu jamaa kashuhudia derby ya River plate na Bocca Junior anajua sana Kutulia na kuipanga ndio maana hakutaka kuangalia video
Simba Wana bahati sana ila game ijayo ni 7
Derby ya wahuni duniani, mashabiki wauzaji na watumia mihadarati. Ukipoteza mechi kizembe inabidi ulinzi uimarishwe vinginevyo unakula risasi.Derby ya boca junior na river plate sio ya kitoto ni mechi haswa
Huyo ndio tishio kwa Yanga. Dakika yoyote atamtaka kijana wake awatumikie raia woteMama ndio tishio kwa sasa [emoji848][emoji848]
Ogopa kocha anawaambia wachezaji wake "enjoy football Chezeni kama mko mazoezini"Ile ni vita na ndio Gamond kachukua technic huko Ahmed akaona jamaa anafanya masihara kumbe yuko serious
Asilimia nyingi ya tunaojadili hapa ni wanayanga kwa upande wa madunduka hawana nguvu ya kusema chochote.Aende tu.. Yanga kwa sasa wako kibiashara zaidi.
Aliondoka Fey mkasema
Alivyo ondoka Mayele ...ndio mkasema sana
Alivyoondoka Nabi...Mama Yangu ndio mlichonga sana mpka mijini pale msimbazi ikawa inacheka hazarani.
Mkuu ebu fafanuaHuyo ndio tishio kwa Yanga. Dakika yoyote atamtaka kijana wake awatumikie raia wote