Je, yapo majengo mangapi Kariakoo yaliyoongezwa kwenda chini (underground floor) na wamiliki?Wanaofanya haya wanapewa kibali na serikali?

Je, yapo majengo mangapi Kariakoo yaliyoongezwa kwenda chini (underground floor) na wamiliki?Wanaofanya haya wanapewa kibali na serikali?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Baada ya kuanguka ghorofa huko Kariakoo chanzo kinadai mmiliki alitaka kuchimba chini ajenge underground floor kwa ajili ya kuongeza fremu za biashara.

Naamini huyu siyo mmiliki wa kwanza kufanya hivi, amefuata nyayo za wamiliki wengi waliotangulia. Naamini pia kwamba majengo yaliyochimbwa chini yanafahamika na wafanyabishara pamoja na mamlaka za serikali

Nipende kufahamu, je serikali ipo tayari kutoa taarifa ya majengo yaliyoathiriwa na tamaa za fedha kama jengo hilo? Je, hayo majengo haliruhusiwa kujengwa?

Jambo la mwisho ni ubora wa majengo, tumeona kabisa zege na NONDO kwenye jengo lililoanguka havina ushirikiano. NONDO chache, cement fupi na kokoto cha chombeza. Je, walioruhusu haya walilipwa nini? Tumeona pia bomoa bomoa ikiendelea na majengo yakichukua chini ya miezi sita kujengwa zaidi ya ghorofa kumi? Je, haya majengo mapya ya NHC na wawekezaji binafsi yanazingatia ubora au yanazingatia kukamilika? Ni nadra sana ghorofa kumi kujengwa chini ya mwaka ila kariakoo ujenzi unachukua miezi mitatu hadi minne kukamilika. Viwango vinazingatiwa?
 
Maghorofa yaliyochimbwa chini baada ya kujengewa yafungwe na yabomolewe.
 
Baada ya kuanguka ghorofa huko Kariakoo chanzo kinadai mmiliki alitaka kuchimba chini ajenge underground floor kwa ajili ya kuongeza fremu za biashara.

Naamini huyu siyo mmiliki wa kwanza kufanya hivi, amefuata nyayo za wamiliki wengi waliotangulia. Naamini pia kwamba majengo yaliyochimbwa chini yanafahamika na wafanyabishara pamoja na mamlaka za serikali

Nipende kufahamu, je serikali ipo tayari kutoa taarifa ya majengo yaliyoathiriwa na tamaa za fedha kama jengo hilo? Je, hayo majengo haliruhusiwa kujengwa?

Jambo la mwisho ni ubora wa majengo, tumeona kabisa zege na NONDO kwenye jengo lililoanguka havina ushirikiano. NONDO chache, cement fupi na kokoto cha chombeza. Je, walioruhusu haya walilipwa nini? Tumeona pia bomoa bomoa ikiendelea na majengo yakichukua chini ya miezi sita kujengwa zaidi ya ghorofa kumi? Je, haya majengo mapya ya NHC na wawekezaji binafsi yanazingatia ubora au yanazingatia kukamilika? Ni nadra sana ghorofa kumi kujengwa chini ya mwaka ila kariakoo ujenzi unachukua miezi mitatu hadi minne kukamilika. Viwango vinazingatiwa?
Hakuna ujenzi woqote utakao fanya katika mijinyetu mikubwa siku hizi bila kuwa kibali….kwa maana hiyo kama kweli alikua anachimba chini kuongeza fremu basi ana kibali cha ujenzi toka jiji.
Tutegemee serikali kutoa taarifa baada ya zoezi la uokozi kufanyika na pia kuelezea hatua zilizo chukuliwa kwa watu wa jiji kwa kutoa kibali kufanya hayo yaliyofanyika kwenye hilo jengo mpaka kuanguka.
 
Hakuna ujenzi woqote utakao fanya katika mijinyetu mikubwa siku hizi bila kuwa kibali….kwa maana hiyo kama kweli alikua anachimba chini kuongeza fremu basi ana kibali cha ujenzi toka jiji.
Tutegemee serikali kutoa taarifa baada ya zoezi la uokozi kufanyika na pia kuelezea hatua zilizo chukuliwa kwa watu wa jiji kwa kutoa kibali kufanya hayo yaliyofanyika kwenye hilo jengo mpaka kuanguka.

City Director, Elihuruma Mabelya atoe majibu ya kutosha
 
Back
Top Bottom