Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,051
- 461
mimi natoka huko kwa The Don Ngosha,nakumbuka sana wakati tuko wadogo tulikuwa tunaenda ziwani kuogelea lake Victoria huko mazoo..mabinti with mama zao au waliowatangulia huwa walikuwa wakienda kupractise love making au how to handle mwanaume,kazi ilikuwa inaanza hivi....
Bindi huwekwa chini na kupewa somo ambapo one of the woman alikuwa akijifanya kama man,Binti hulazwa chini na kufundishwa lot of styles ila nzuri na iliyokuwa inatuacha hoi ni pale Binti alipokuwa akilazwa chini kiuno kinainuka tulikuwa tunaita mbenuko kati,kinawekwa kitu kwa kisukuma kinaitwa LUMAMBO kwa kiunoni na mjimama unakuja juu unaanza fanya mambo yake kama mwanaume sasa binti anaambiwa asimlete yule jamaa aanguke au yeye kulala maana ule LUMAMBO utamchoma kiuno,kazi hufanyika kila siku mpaka anakuwa mzoefu,hiyo inaitwa KUPETA kama ungo,swali je pwani inakuwaje na how they practice all these?
Bindi huwekwa chini na kupewa somo ambapo one of the woman alikuwa akijifanya kama man,Binti hulazwa chini na kufundishwa lot of styles ila nzuri na iliyokuwa inatuacha hoi ni pale Binti alipokuwa akilazwa chini kiuno kinainuka tulikuwa tunaita mbenuko kati,kinawekwa kitu kwa kisukuma kinaitwa LUMAMBO kwa kiunoni na mjimama unakuja juu unaanza fanya mambo yake kama mwanaume sasa binti anaambiwa asimlete yule jamaa aanguke au yeye kulala maana ule LUMAMBO utamchoma kiuno,kazi hufanyika kila siku mpaka anakuwa mzoefu,hiyo inaitwa KUPETA kama ungo,swali je pwani inakuwaje na how they practice all these?