Je Zari The bossylady kweli Ni Freemason??

Joined
Jan 29, 2017
Posts
61
Reaction score
66
Ni matumaini yangu wazima kabsa wadau WA JF.
Katika pita pita yangu kwenye mitandao ya kijamii hususan instagram..nimekutana picha za mwanadada WA kiganda ambaye pia Ni shemeji yetu( Zarina Hassan) al-maarufu kama zari the boss.picha kikweli Ni nzuri Na ametokelezea sna....ila pembeni Kuna alama ya fuvu LA mtu....hii Ki ukweli sikuelewa maana ya alama hii kuwa ndani ya ofsi yake. Alama hii huwa Mara nyingi inahusishwa Na alama ya Freemason...Sasa naomba kutolewa utata hapa,kuwa Ni kweli zari the boss anawezakuwa muumin WA freemason??
 
Hakuna lolote ni mapambo kama mapambo mengine.
Wengine hadi hujipiga tatoo mwilini.
Freemasons wapo ila siyo kama story zilizogaa mitaani hadi eti mganga toka kigoma anatoa majini na kuunga freemasons
 
Kuna. Vitu watu wanafanya makusudi ili muwaongelee kama hivi

Na kwanini atufanyie? Kwa faida gani atakayopata?
Hawa watu wamazingira ayo hawaaminiki hata kidogo. Mtu akifikia stage ya kutoa utu wake ili apate kitu tena cha kipuuzi tu anaweza kufanya lolote uyo.
Wasanii wengi ni ma freemason na hasa kwa sasa zaidi afrika sahivi ndo wanajaa hasa.
Wengi wetu tunalichukulia kiulaini kabisa lakini izo habari ni zaukweli wakuu.
 
Hio sio ofisi ya Zari ni ofisi ya WCB (Diamond)...Kuhusu swala la fuvu kuhusishwa na freemasons sidhani kama ni sahihi!!Hilo ni pambo kama mapambo mengine tu mkuu....
 
wewe fanya kazi kufatilia habari za watu utakufa maskini mwenye kuujua ukweli ni yeye mwenyewe zari sasa endelea kubuni buni kwamba sijui hivi sijui vile
 
Duh

Kabisa umekaa na kutamano yote unayomfikiria yawe yake.. aiseee!!!
 
Hata akiwa freemason wewe unaathirika vipi? Wewe jali maisha yako na unachokiamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…