Je Zitto Amepoteza Uhalali wa kuwa Kiongozi?

Mdogo wangu Zitto... CHADEMA is NOT for you!!!, You are smart, talented, visionary and ambitious; Just move on; soma, fanya biashara zako na ukiamua kurudi siasani; angalia kilicho bora!!!!

The storm coming from people supporting Mbowe, show that the hatred is toooo deep to be ignored!!
SIKUJUA!!!
 

Bwa ha ha ha.. sasa sura ya Zitto inaingiaje hapa tena wajameni? Mboni sielewi?
 
Mie naomba mijadala ya ZIITO na CHADEMA isitishwe kama kweli tunataka kuokomboa nchi hii!!!!
 
Kama ambavyo wengi wetu humu hatukumwomba/kumshauri Zitto achukue fomu kugombea nafasi ile, ni vizuri sasa tukaheshimu uamuzi "wake" wa kujitoa kugombea.
 
Sisi vijana wa CCM ni kicheko na furaha tele. Tukiona watu wanao tutuhumu kuwa sisi mafisadi, kumbe wao pia wanahilo. Pambaneni ila msiumizane yetu macho. Kwa hali hiyo tuna miaka 60 mbele ya kutawala nchi hii
 
The title is very misleading. Hiyo first lady inge paswa kuwekwa katika quotations. Title inakua kama magazeti yanavyo fanya kuattract readers.
 
Naogopa yoyoooo, o kaka naogopa yoooo
toka lini tofali la barafu likajenga nyumbaaaaa

Naogopa yoyoooo, o kaka naogopa yoooo
toka lini tofali la barafu likajenga nyumbaaaaa

Dharau yako CHADEMAAA, tegemeo lako ni bure (bure!)
toka lini tofali la barafu likajenga nchiiii!!!
 
Sisi vijana wa CCM ni kicheko na furaha tele. Tukiona watu wanao tutuhumu kuwa sisi mafisadi, kumbe wao pia wanahilo. Pambaneni ila msiumizane yetu macho. Kwa hali hiyo tuna miaka 60 mbele ya kutawala nchi hii

Mkuu inabidi hii "sisi vijana wa CCM" uielezee vizuri. Kwani kuna "sisi vijana wa CCM tunaopinga ufisadi" ambo kwa ajenda hiyo tunaungana na wapinzani wanaopinga ufisadi kwa kuwa our common interest is to see a better and a well of Tanzania. Na Kuna "sisi vijana wa CCM tunaotetea ufisadi" ambao akili zetu zimechafuliwa na hela, na tunaona tuibe tu na tutunishe mifuko yetu na akaunti zetu. kutoijali Tanzania na watanzania.
 
The title is very misleading. Hiyo first lady inge paswa kuwekwa katika quotations. Title inakua kama magazeti yanavyo fanya kuattract readers.

Hapa umenena mkuu.Na hilo jina la first lady nani amempa?

na naona huko CHADEMA chama kimekuwa family business sasa not ve sonn utasikia mamake zitto ni mwenyekiti wa wanawake chadema!
 
Mhh mbona makubwa haya!!!! Kama ni kweli alitakiwa kuweka mambo wazi kuhusu huo uchafu wa makao makuu.
 
1) I concur with M/falsafa1

2) kama ni family business sasa wale wanaosema ni chama cha wachaga, na huyu mamani mcgaga?

3) blaa blaaa blaaaa!! nyiiingi? wenyewe wanafanya wanajiandaa na mkutano wao wanavyojua wao.
 
What if is true?? jamani kunya anye CCM akinya CHADEMA karanga? wote tunapige kelele ili kusiwa na ukabila, kama Zito angeruhusiwa huoni kuwa wangeondoa hilo wingu maana lipo na lilikuwepo! kama CHADEMA tunakiamini kwa nini tusikionye leo?


NDIO AWE KATIBU MKUU UKABILA UTAKUWA UMEPUNGUA.

I ssue ya ukabila wa wachaga na wanyakyusa imekuwa ajenda si kwenye chama tu ila hata kwenye sekta nyingine ila kwa wale wasomi wa hesabu wanajua mkiwa wengi mahali, probability ya kuchaguliwa wengi inakuwa kubwa. Mara TRA, mara Wizara ya Fedha tunalalama kuna uchaga. Tuelewe wanyakyusa, wahaya na wachaga wengi zaidi wameenda shule na mambo haya yanahitaji shule hivyo uwezekano wa kuwa wengi mahali sioni shida. Tujenge mashule mengi na kwetu ili tupunguze makali hayo

Kwa hiyo hata kama wachaga wanastahili wasipewe nafasi? kwa nini tuwabague?
 

Maana yake tunamsubiri zitto kwa HAAAAAAAMU atue UVCCM! Ni suala la Muda tu.

Congrats Hussein Bashe
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…