Jean Baleke hakuwahi kuwa mfungaji Bora pale TP Mazembe (ligi ya kongo) Kama mnavyo danganywa/jidanganya

Sawa. Kwa Ivo unasemaje na unatakaje
 
Nikifungua link ya pili inanipileka kwenye page yenye pamoja na mambo mengine,ratiba ya UEFA YA LEO sioni hiyo ya 2020/2021. Screen shot kama vipi kama kwako inafunguka vizuri
Link hii itakurahishia kwenda moja kwa moja.


Humo kuna full data hivyo nenda kwenye record utaona best scorer's katika huo msimu

 
Mayele simuoni ...?baleke alitoka Spain ndo kaenda kwao Kucheza mpira soon akaja simba kabla hata msimu kuisha ila kaacha bao za kutosha kwao....
Jin baleke...16 April......5-0
Huko Spain alikua anacheza timu gani?
 
Kwahiyo mfungaji bora alikuwa na magoli 7. Na alitoka Motema Penne aliitwa Dark Kabangu akiwa na goli 7 huku Bake akiwa na goal moja?

Kwamba msimu umeisha na mfungaji bora wa timu ana goli moja.
 
Kwahiyo mfungaji bora alikuwa na magoli 7. Na alitoka Motema Penne aliitwa Dark Kabangu akiwa na goli 7 huku Bake akiwa na goal moja?

Kwamba msimu umeisha na mfungaji bora wa timu ana goli moja.
Mbona hatuoni statistics Kama wanavyosema wanashea links tu lakin ushahidi hakuna ni porojo tu humu.
 

funga golihata moja
 
Hii ni list ya magoli ya CAF champions league usifanye watu wajinga
 
Kwahiyo mfungaji bora alikuwa na magoli 7. Na alitoka Motema Penne aliitwa Dark Kabangu akiwa na goli 7 huku Bake akiwa na goal moja?

Kwamba msimu umeisha na mfungaji bora wa timu ana goli moja.
Ndio ilivyo, asa itafute takwimu kwenye trusted source yoyote ikimuonesha Baleke akiwa top scorer wa ligi ya Congo.
Na kuhusu idadi ya magoli aliyekuwa top scorer ambaye ni Dark Kabangu kuwa na magoli 7, kama unaona haiwezekani lazima top scorer awe na goli 10+ basi nenda ufatilie msimu wa 2021/22 Makabi Lilepo kutoka As Vita alikuwa na goli tisa tu na ndiye top scorer. Hakuna ushahidi utakaopatikana Baleke kuwa kinara wa magili Congo.
 
Nakazia hakuna kitu Kama hicho na wafute kauli yao yakusema kuwa baleke alimzidi mayele magoli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…