Ndio ile ile link. Nimesamaraizi yaliyopo kwenye linkHii haujaweka link. Weka link mkuu
Link niliyokutumia Inaelezea siku zawadi zinatolewa za msimu wa 2020/2021 ninaamini kiingereza uko vizuri kiasi kwamba unaweza chukua maneno ya kifaransa ukatumia hugo kutranslate to kiingerezaYaah najaribu kuangalia source zingine. Source uliyoleta wewe ndio source hiyo hiyo iliyosema Baleke ana goli moja.
Huku Dark Kabangu ana goli sita huku ana goli saba, halsfu ni source hiyo hiyo moja. Hivyo tayari imenipa mashaka hivyo natafuta source zaid.
Kula chuma hicho kingineHii haujaweka link. Weka link mkuu
Hii haujaweka link. Weka link mkuu
Hizo ni website tofauti tofauti ambazo ziliripoti tukio la utoaji tuzo kwa msimu wa 2020/2021 Linafoot ligi kuu DRC.Vodacom Ligue 1 Awards: Maxi Mpia sacré meilleur joueur du championnat national 2020-2021 - Sport RDC
Maxi Mpia, jeune attaquant du club de Kindu, a été sacré le samedi dernier à Kinshasa lors d’une cérémonie Awards récompensant les meilleurs de la dernière édition du championnat de la Vodacom Ligue I. C’est un illustre inconnu du grand public qui a raflé le titre de meilleur joueur de l’édition...sportrdc.com
Football database: inasema alikuwa ni mchezaji wa Js Kinshasa alimaliza na goli moja pekee.Ndio ile ile link. Nimesamaraizi yaliyopo kwenye link
1)Unazungumzia link niliyokutumia au link ulizokuja nazo wewe?Football database: inasema alikuwa ni mchezaji wa Js Kinshasa alimaliza na goli moja pekee.
Foot drc inasema kuwa alikuwa ni mchezaji wa Tp Mazembe alikuwa na goli 9.
Huku tambourmatin inasema kuwa Baleke alikuwa ni mchezaji wa Tp Mazembe alikuwa top scorer kwa goli 14.
Source zote hizo tatu zinapingana.
Kingine kwenye post yako namba 64 imeonesha imemnukuu Katumbi akimuongelea Baleke kuhusu swala la usajili. Na hiyo post inaonekana kuwa Baleke kuna timu alikuwepo kabla ya Tp Mazembe na baada ya kuwa top scorer ndipo Tp Mazembe ikaamua kumsajili (kulingana na post yako namba 64) hivyo post yako namba 64 inapingana na maelezo ya juu kuwa Baleke alikuwa na timu tofauti na Tp Mazembe wakati akiwa top scorer lasivyo kuwepo na ushahidi kuwa alikuwa top scorer kwa misimu miwili ( kabla ya kuja Tp Mazembe na alivyokuwa Tp Mazembe)
Je alikuwa Top scorer wa timu gani tofauti na Tp Mazembe? Na ilikuwa ni msimu upi huo?
La pili naomba nitumie link ya hiyo inayoonesha post ya Katumbi ili tuone hiyo post ilikuwa ni kuelekea msimu upi.
Naomba unisaidie kujibu hili kutoka kwa digital manager wenuFootball database: inasema alikuwa ni mchezaji wa Js Kinshasa alimaliza na goli moja pekee.
Foot drc inasema kuwa alikuwa ni mchezaji wa Tp Mazembe alikuwa na goli 9.
Huku tambourmatin inasema kuwa Baleke alikuwa ni mchezaji wa Tp Mazembe alikuwa top scorer kwa goli 14.
Source zote hizo tatu zinapingana.
Kingine kwenye post yako namba 64 imeonesha imemnukuu Katumbi akimuongelea Baleke kuhusu swala la usajili. Na hiyo post inaonekana kuwa Baleke kuna timu alikuwepo kabla ya Tp Mazembe na baada ya kuwa top scorer ndipo Tp Mazembe ikaamua kumsajili (kulingana na post yako namba 64) hivyo post yako namba 64 inapingana na maelezo ya juu kuwa Baleke alikuwa na timu tofauti na Tp Mazembe wakati akiwa top scorer lasivyo kuwepo na ushahidi kuwa alikuwa top scorer kwa misimu miwili ( kabla ya kuja Tp Mazembe na alivyokuwa Tp Mazembe)
Je alikuwa Top scorer wa timu gani tofauti na Tp Mazembe? Na ilikuwa ni msimu upi huo?
La pili naomba nitumie link ya hiyo inayoonesha post ya Katumbi ili tuone hiyo post ilikuwa ni kuelekea msimu upi.
Unajitahidi sana kumtetea baleke na source zako zisizo kuwa na kichwa Wala miguu.SAISON SPORTIVE 2020-2021 : MAXI MPIA SE DISTINGUE
Le trophée du meilleur joueur a été décerné à Maxi Mpia Nzengeli. Le sociétaire de l’AS Maniema Union a ainsi été plébiscité meilleur joueur de la saison. Auteur de 7 buts et 4 passes décisives, il devance son ancien coéquipier Mercey Ngimbi qui évolue actuellement au TP Mazembe. Et Glody Lilepo...ufc.divisionafrica.org
Website nyingine ya CongoDR ikielezea siku ambayo zawadi zilitolewa na Baleke akawa mfumga bora (JSK/Mazembe).
Kafanyaje sikufatiliaIla Jana baselona katembea na hela yangu mkuu acha tu aise.
Alidroo mzeeKafanyaje sikufatilia