Jean Makusu na Kabangu nani atatufaa kwa simba hii yetu?

TUPAMBANE

Member
Joined
Jan 25, 2021
Posts
62
Reaction score
88
Jean Makusu na Kabangu nani atatufaa kwa simba hii yetu? Makusu namwona kama soft soft hivi nawasikiliza wadau
 
Jean Makusu Mundele anafaa pale Msimmbazi, huo usoft wake ndo faida yake uwanjani.
 
Bora huyo striker ambae ni chaguo la kocha
 
simba haiachi striker hata mmoja anaongezwa attacking midfielder mzambia anaitwa moses phiri ligi ya zambia ana goals 13 umelete makusu aje kudai mamilioni ya pesa ligi ya morroco na south africa zilimshinda kabisa. Manyama tayari so Kabaki fraga vierra kurudi basi anayeondoka ni khata na chikwende...basiiiiii
 
Atoke kagere aje kabangu
 

Kagere anaondoka
 
Makusu kasi imepungua kidogo toka alipovunjika sijui anaogopa kuumia tena. Ila mimi naona Kabangu kakamilika zaidi na ana vitu vingi zaidi ya Makusu kuanzia mashuti, vichwa, nguvu, kasi, ukokotaji wa mpira. Isitoshe uchezaji wa aina ya Makusu ni wa taratibu kama kiasi fulani Chama au Bwalya yaani nyuma ya mshambuliaji na si mshambuliaji wa mwisho. Kabangu yeye ni "typical" mshambuliaji wa mwisho. Kwa hiyo pia inategemea zaidi mahitaji ya benchi la ufundi la Simba kwa sasa.
 
Kwa falsafa ya simba wachezaji wengi wa Congo hawatufai msimbazi maguvu mengi akili kidogo nimafisango tu alifanya vizuri kichwani alikuwa na akili ya mpira Zambia wachezaji wake inakua rahisi kucheza simba wanatumia sana akili kuliko nguvu hata huyo Djuma shabaani ni nguvu na kasi yake tu mpira kawaida sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…