Jean Schramme, mzungu aliyejitangaza Rais wa Congo

Jean Schramme, mzungu aliyejitangaza Rais wa Congo

Basi Nenda

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2017
Posts
20,774
Reaction score
47,866
Congo ya ubelgiji ilipopata uhuru wake mwaka 1960,nchi ilijikuta kwa haraka sana katika vita vya wenyewe kwa wenyewe Mamia ya wazungu waliokuwepo huko waliwekwa kizuizini kama mateka, Belgium ikatuma wanajeshi kuwaokoa watu hao.

jimbo tajiri la katanga na sehemu ya mashariki mwa Kasai yalijaribu kujipatia uhuru wake wenyewe yani yajitenge kwakuwa yalikuwa na utajiri wa copper, cobalt na diamonds, hii ilipelekea machafuko mwaka 1965, Colonel Mobutu akawa rais na July 3, 1967 Jean Schramme akaanza kuongoza uasi katika jimbo la Katanga dhidi ya Mobutu na akajitangaza kuwa rais wa Congo

Mobutu alilaani vikali kitendo hiki mbele ya Mkutano mkuu wa umoja wa mataifa na alisema kwakuwa huyu mtu ni mzungu ndio maana amepata jeuri ya kufanya haya akauliza je mtu mweusi akienda ulaya akajitangaza kuwa Rais vyombo vya habari vingempa support kiasi kama walichompa huyu mwenzao mzungu na mwisho aliapa kwamba yeye (mobutu) nafasi yake ya Urais haijawahi kutikiswa na yeyote hivo atamshughulikia na hatovumilia dharau hiyo na mwisho alimshughulikia kweli na kufanikiwa kuzima uasi Congo na akawa mtu aliyeipatia Congo amani

IMG_3108.JPG



Sent using Jamii Forums mobile app
 
mzungu huyu alirudi kwao ama hatma yake ilikuwaje.
Congo ya ubelgiji ilipopata uhuru wake mwaka 1960,nchi ilijikuta kwa haraka sana katika vita vya wenyewe kwa wenyewe Mamia ya wazungu waliokuwepo huko waliwekwa kizuizini kama mateka, Belgium ikatuma wanajeshi kuwaokoa watu hao.

jimbo tajiri la katanga na sehemu ya mashariki mwa Kasai yalijaribu kujipatia uhuru wake wenyewe yani yajitenge kwakuwa yalikuwa na utajiri wa copper, cobalt na diamonds, hii ilipelekea machafuko mwaka 1965, Colonel Mobutu akawa rais na July 3, 1967 Jean Schramme akaanza kuongoza uasi katika jimbo la Katanga dhidi ya Mobutu na akajitangaza kuwa rais wa Congo

Mobutu alilaani vikali kitendo hiki mbele ya Mkutano mkuu wa umoja wa mataifa na alisema kwakuwa huyu mtu ni mzungu ndio maana amepata jeuri ya kufanya haya akauliza je mtu mweusi akienda ulaya akajitangaza kuwa Rais vyombo vya habari vingempa support kiasi kama walichompa huyu mwenzao mzungu na mwisho aliapa kwamba yeye (mobutu) nafasi yake ya Urais haijawahi kutikiswa na yeyote hivo atamshughulikia na hatovumilia dharau hiyo na mwisho alimshughulikia kweli na kufanikiwa kuzima uasi Congo na akawa mtu aliyeipatia Congo amani

View attachment 1432236


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao sasa ndio mabeberu. Ukiliona tu unajua ni beberu limekuja kimabavu kubaka ardhi ya Afrika.

Hivi Hawa jamaa kwenye historia yao wameandika kuwatumikisha waafrika kama punda bila malipo kwa kujutia au kwa mbwembwe? Maana babu zetu waliteswa sana lakini hili hawalizungumzii.

Walipaswa kurudisha mali walizoiba au watulipe fidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao sasa ndio mabeberu. Ukiliona tu unajua ni beberu limekuja kimabavu kubaka ardhi ya Afrika.

Hivi Hawa jamaa kwenye historia yao wameandika kuwatumikisha waafrika kama punda bila malipo kwa kujutia au kwa mbwembwe? Maana babu zetu waliteswa sana lakini hili hawalizungumzii.

Walipaswa kurudisha mali walizoiba au watulipe fidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kweli kabisa zamani yalikuwepo Mabeberu,wanafurahi sana kututawala kuna uzi humu utafute ni hotuba ya Rais wa kwanza wa south Africa lile lilikuwa beberu haswa linawasifu watu weupe wenzie na linasema muafrica hana akili anawaza ngono tu,kuhusu fidia mwaka huu kuna nchi fulani nimeisahau jina iliwashitaki wajerumani kwa kuitawala na kusababisha umasikini,maakama ya juu huko ujerumani ikaamuru hiyo nchi ya Africa ilipwe fidia
 
Mkuu kweli kabisa zamani yalikuwepo Mabeberu,wanafurahi sana kututawala kuna uzi humu utafute ni hotuba ya Rais wa kwanza wa south Africa lile lilikuwa beberu haswa linawasifu watu weupe wenzie na linasema muafrica hana akili anawaza ngono tu,kuhusu fidia mwaka huu kuna nchi fulani nimeisahau jina iliwashitaki wajerumani kwa kuitawala na kusababisha umasikini,maakama ya juu huko ujerumani ikaamuru hiyo nchi ya Africa ilipwe fidia
Hii mahakama iliyotoa hukumu ya kutaka kulipwa kwa wananchi wa Afrika itakuwa ni ya Afrika bila shaka.

Kila uchao tunawalaani mabeberu eti!

Kwanini nasiye wa Afrika tusiende kuwaibia ama kuwatawala wazungu huko kwao na kuwafanya koloni letu??
Hili ni jambo gumu sivyo? Na bila shaka haiwezekani.

Walipotuachia nchi zetu tujitawale wenyewe, bila shaka muda mrefu umepita,labda ni miaka 60-70.

Muda wote huo tumefanya nini?

Tumeiba mali za wananchi na kuzificha Ulaya,tumekuwa waroho wa madaraka hata kudiriki kuwaua wenzetu ili tusinyang'anywe madaraka nk.

Mwisho,hatuishi kuwalaumu wakoloni kwamba walitunyonya na kutuibia mali zetu, lakini hatuoni kwamba tunaingia sisi wenyewe kwenye mikataba isiyo na manufaa kwa nchi zetu.

Mwisho,hatuoni ubaya tunayotenda kwa kuchagua viongozi kwa kulindana kulinda vyeo vyetu.

Wala hatutoi shukrani kwa kupokea misaada mingi kwenye bajeti zetu,wala misaada tunayo pokea ili kuwasadia wananchi wetu kwenye huduma za kijamii kama afya,maji,elimu,barabara nk.

Kila siku shukrani yetu ni kama ile ya punda...tukiwalaani kwa kuwaita MABEBERU,MABEBERU.

Nisiseme sana,ila hii ni picha inayoonesha kwamba Afrika bado tuko mbali sana kimtazamo na pia ki elimu.
Uwezo wa viongozi wetu kufikiri ni mdogo sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii mahakama iliyotoa hukumu ya kutaka kulipwa kwa wananchi wa Afrika itakuwa ni ya Afrika bila shaka.

Kila uchao tunawalaani mabeberu eti!

Kwanini nasiye wa Afrika tusiende kuwaibia ama kuwatawala wazungu huko kwao na kuwafanya koloni letu??
Hili ni jambo gumu sivyo? Na bila shaka haiwezekani.

Walipotuachia nchi zetu tujitawale wenyewe, bila shaka muda mrefu umepita,labda ni miaka 60-70.

Muda wote huo tumefanya nini?

Tumeiba mali za wananchi na kuzificha Ulaya,tumekuwa waroho wa madaraka hata kudiriki kuwaua wenzetu ili tusinyang'anywe madaraka nk.

Mwisho,hatuishi kuwalaumu wakoloni kwamba walitunyonya na kutuibia mali zetu, lakini hatuoni kwamba tunaingia sisi wenyewe kwenye mikataba isiyo na manufaa kwa nchi zetu.

Mwisho,hatuoni ubaya tunayotenda kwa kuchagua viongozi kwa kulindana kulinda vyeo vyetu.

Wala hatutoi shukrani kwa kupokea misaada mingi kwenye bajeti zetu,wala misaada tunayo pokea ili kuwasadia wananchi wetu kwenye huduma za kijamii kama afya,maji,elimu,barabara nk.

Kila siku shukrani yetu ni kama ile ya punda...tukiwalaani kwa kuwaita MABEBERU,MABEBERU.

Nisiseme sana,ila hii ni picha inayoonesha kwamba Afrika bado tuko mbali sana kimtazamo na pia ki elimu.
Uwezo wa viongozi wetu kufikiri ni mdogo sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
umesema vyema sana mkuu, hatuwezi kuendelea kwa sababu sisi wa Africa hatujafikili vizuri kama wenzetu,mkuu india ilitawaliwa lakini sasa hivi tunatumia mpaka hotpot za india na dawa.
ni vigumu sana Africa kuendelea kutokana na watu tunaowapa madaraka kuwa na akili ndogo na wananchi wengi kuwa wazembe
 
Back
Top Bottom