Anaelekea kutobolewa spika huyoo.Mpuuzi weye.Utaanza kujadili na ukubwa wa uume wake.Stupid!
Umeona eenhh?!!.Shida sana.Aliyesema washabiki wa Yanga ni kima, mbwa na uneducated hajakosea. Hata yule sope aliyesema huko Yanga wenye akili timamu ni Sunday Manara na Mzee JK tu waliobakia wote ni hamnazo alikuwa sahihi kabisa. Yaani kabisa tuanze kujadili vazi la Mgunda kweli?
Akajibu akawaambia, la hasha! Je macho yenu yaweza kuona lililo ndani ya moyo wa mtu? Amin Amin nawaambia muonavyo ninyi si kama aonavyo yule aliyemtuma.Wakamwambia mbona hata macho yake yanaonyesha kuwa yeye mshirikiiina...
Wewe ni ke au me?Tulijadili jeans la Mgunda lina siri gani, mbona halivuliwi miaka nenda miaka rudi?
Watu wake wa karibu wanadai analala nalo ana mka nalo
Wewe ni mchepuko wake bila shakaJins hi alikuwa nayo tokeaakiwa costal
Nao walipokwisha kusikia hayo wakasemezana wakisema " hakika ni pepo anazungumza ndani ya mtu huyu"Akajibu akawaambia, la hasha! Je macho yenu yaweza kuona lililo ndani ya moyo wa mtu? Amin Amin nawaambia muonavyo ninyi si kama aonavyo yule aliyemtuma.
Lakini haya yote yametokea ili lipate kutimia lile neno lililoandikwa nabii hana heshima kwaoNao walipokwisha kusikia hayo wakasemezana wakisema " hakika ni pepo anazungumza ndani ya mtu huyu"