Kibatala ni mtu makini,na watu wote makini kwenye huu mtanange wako kwa Lissu.Hivi Kibatala yeye yuko upande gani? Wenzake maarufu kama yeye tayari wameonesha ni upande gani wanaunga mkono
kazi anayo kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi alie na mitandao ya kijamii huku akiwananga wajumbe πHii ni baada ya mwamba kukomaa ki Yoweri Kaguta Museveni:
View attachment 3189151
Kwamba wajumbe hawa, ambao wengi wao nao ni watia nia kwenye ubunge na udiwani uchaguzi mkuu 2025, wajue bila watu, kura zao zinabeba hatima zao wenyewe.
Maneno mazito kabisa haya kutokea kwake wakili msomi Jebra Kambole.
kazi anayo kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi alie na mitandao ya kijamii huku akiwananga wajumbe π
naona umempost statesman, mwamba wa kaskazini, mwenyekiti mpya wa Chadema Taifa 2025-2030, Freeman Aikaeli Mbowe,Ukiona CCM wanakuona kibaraka ujue umewashika pabaya.
No wonder:
View attachment 3189185
Au nasema uongo?
Timu makengeza aka nimeombwa kugombea tilieni mnyooshweπͺπͺπͺπͺπͺπͺTimu..Lisu acheni porojo tulieni subirini sanduku la kura mbona mnatapatapa sana
Ayatollah Ali Khamenei kwishaaa.Jabali la siasa za upinzani, mwamba Freeman Mbowe apewe 5 tena.
Hawala la marabu limeuza bandar zetu huku majingamajinga yakishangilia πͺ πͺ πͺ πͺnaona umempost statesman, mwamba wa kaskazini, mwenyekiti mpya wa Chadema Taifa 2025-2030, Freeman Aikaeli Mbowe,
umetisha sana gentleman mapema kabisa asubuh asubuh πͺπ
Huku site Lisu ndo mpinzani wa kweli na sio hao waramba asali ya mama Abdulkazi anayo kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi alie na mitandao ya kijamii huku akiwananga wajumbe π
Jabali au mramba asali, soon atakuwa kama cheyo au lipumbaJabali la siasa za upinzani, mwamba Freeman Mbowe apewe 5 tena.
Wajumbe wanasimama na MboweHii ni baada ya mwamba kukomaa ki Yoweri Kaguta Museveni:
View attachment 3189151
Kwamba wajumbe hawa, ambao wengi wao nao ni watia nia kwenye ubunge na udiwani uchaguzi mkuu 2025, wajue bila watu, kura zao zinabeba hatima zao wenyewe.
Maneno mazito kabisa haya kutokea kwake wakili msomi Jebra Kambole.
Wajumbe wanasimama na Mbowe