Jedwali la RA: Nani hayumo?

Mkuu, nisaidie kidogo hapo. Hao wakuu wawili hapo waligombea na kushinda viti gani?

1. Abdulaziz - Ubunge Lindi. 2. Mongella - Ujumbe NEC na UV-CCM.



2. - Mkulu Mwanakijiji ongeza kwenye kundi A:-

Wilson Kusila alipewa Millioni 15 na Rostam, na kushinda Uenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma alionao sasa Mwaka 2007.

FMES
 
FMES,
Nasikia na Wassira naye alipewa millioni 2 na RA alipogombea kule Bunda. Ni nani miongoni mwa mawaziri wa sasa ambaye hakupata mshiko wa RA?
 
Gademu!!! this is what I call "case closed" kwani imejibu maswali karibu saba yaliyokuwa yananitatiza!! Thanks mkuu.. Mengine nakutumia kwenye PM.. maana ni too hot..

HUU NDIYO 'UKONDOO NA OWOGA' badala ya kutuandikia hapo enaeema its too hot. kwa uwoga wako unogoka kuandika je unaweza kuwa na uwezo kusimmama na kueleza baya la mtu, unaopa nini, halafu unajifanya wewe ni mkosoa mabaya katika jamii, hovyo kABISA

yaani wewe nimekuwa HUFAIII KABISA KATIKA JAMII, huna tofauti na JITU PATEL au HITLER enzi hizo
 

Wewe unaye faa katika jamii yepi uliyo kwisha ifanyia hiyo jamii?
 
wewe unaye faa katika jamii yepi uliyo kwisha ifanyia hiyo jamii?

nafanya katika nafasi yangu mengi tu, na sina huo uwoga kuliuonao wa kondoo maana kwa tabia hiyo ya kuogapa kuandika eti uta-pm wakati hapa jf tunasema "we dare to talk openly" hivyo kama huwezi kakae jikoni ukapike
 
Ndugu wana JF,

Nina amini kabisa kwamba Watanzania tuna shughuli nyingi na muhimu sana kwa ajili ya ujenzi wa Taifa. Maada hii kwa upande wangu ninaiona imejaa majungu,fitina na uzandiki. Ninasema hivyo kwa sababu wachangiaji wengi katika mada hii wamekuwa wakitaja majina ya nani alipewa nini ama alisaidiwa nini na Rostam Aziz ili kuwa hapo alipokuwa leo, bila ya kuleta ushaidi wa kauli zao. Unakurupuka na kusema fulani alipewa pesa na Rostam na mpaka kiasi cha pesa unakitaja, sasa kwanini usilete na ushahidi kamili wa kile unachokisema?.

Tuwe makini katika yale tuyasemayo ama tuandikayo, si vyema wala si busara kumshuhudia uwongo mtu mwingine. Kama huna ushahidi ama huna hakika ni bora kukaa kimya bila ya kuchangia mada husika.

Jambo langu la mwisho nilikuwa naomba kuuliza nini maana na neno FISADI?
 
Ndugu wana JF,

Nina amini kabisa kwamba Watanzania tuna shughuli nyingi na muhimu sana kwa ajili ya ujenzi wa Taifa. Maada hii kwa upande wangu ninaiona imejaa majungu,fitina na uzandiki.

- Wewe ni M-Tanzania mwenye shughuli nyingi na muhimu sana, lakini you took your time kuja kuchangia majungu, fitina na uzandiki what a contradtiction!

FMES!
 
1.
Quote: Kidatu

Jambo langu la mwisho nilikuwa naomba kuuliza nini maana na neno
FISADI?

- Hapa juu umesema hujui maana ya neno fisadi, sasa tizama hapa chini unasema Mkono ni fisadi, sasa hebu chagua moja mkuu unajua au hujui maana ya fisadi? What a contradiction mkuu?

FMES!


2.
 
1.
2.
Quote:- Kidatu

Re: Shule ya NIMROD MKONO


Mkono pamoja na kwamba ni fisadi

- Haya anza wewe kwanza kuleta ushahidi wa ufisadi wa Mkono mkuu!, Tunajua kwenye huu msafara wa mamba hata makenge mmo, najua umechukia kwa sababu rafiki yetu Nchimbi ametajwa, pole sana hapa ni mwendo wa mdundo tu, sasa lete ushahidi wa ufisadi wa Mkono?

- On my part Ndejembi na Kusila, walimshinda mshikaji wangu wa karibu sana Bwana Masima, je inaweza kukusaidia kujua kwamba I have an-idea na ninachokisema mpaka the amount na hata waliopewa?

- Sasa think again nani anayetakiwa kunyamaza hapa bwa! ha! acha kurukia treni kwa mbele mkuu maana ni hatari!

Respect!

FMES!
 
1. Abdulaziz - Ubunge Lindi. 2. Mongella - Ujumbe NEC na UV-CCM.



2. - Mkulu Mwanakijiji ongeza kwenye kundi A:-

Wilson Kusila alipewa Millioni 15 na Rostam, na kushinda Uenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma alionao sasa Mwaka 2007.

FMES
Nadhani jina sahihi la huyo mwenyekiti wa CCM dodoma ni William Kusila!
 
Nadhani jina sahihi la huyo mwenyekiti wa CCM dodoma ni William Kusila!

- Dodoma tunamjua kama Wilson na sio kwamba ninadhani kama wewe,

maana nalo ni jina lake pia, bwa! ha! ha! ha! mbona unahangaika ndugu yangu bwa! ha! ah!

FMES!
 
Au tuseme nchi hii ina Rais (aliye Ikulu) na pia ina Mgawa Madaraka a.k.a King-maker a.k.a RA a.k.a untouchable?

Ukweli ndio huo, Rostam has been very influential in the appointment of all the key positions that Jakaya has made since he became President; specifically all positions that are related to finance and other sectors in which Rostam had interests. The following ministers were appointed on his recommendatios: Zakia Meghji, Mustapha Mkullo[ Ministry of finace]; Ibrahim Msabaha, Nazir Karamagi and William Ngeleja[ Ministry of Energy and minerals]. Kwahiyo huyu bwana ni mbia wa urais wa Jakaya asibishe mtu, hata kama muungwana anatupiga madongo!
 
Kaka nakujua toka siku nyingi kuwa wewe ni ndugu kibaraka wa Seguyemisi kwa muda mrefu na kweli unajua nyeti nyingi za kweli na za uongo za ccm na hii inatokana na kokaa jikoni na Miss Anne Killango mara kwa mara....lakini kinachonishangaa ni kuwa you had never stopped dreaming about Nchimbi.Huwezi kaa mwezi bila kumtaja........aliwafanya nini kwenye huo ukoo wenu wa Seguyemisi?sambusa?hahahahahahaha au uraiswa embe bivu hahahahahah au aliwaloga hahahhahahahahaah.kweli jamaaa kiboko ya ukoo wenu
 

- Irrelevant na hayana faida yoyote kwa masilahi ya taifa, tunaongelea taifa hapa mkuu sio sambusa na nonsense! Bwa! ha! ha! habari za sambusa peleka mtaani sio uwanja mzito kama huu, hapa ni taifa tu na masilahi yake! hebu soma chini hapa habari za fisadi papa!

FMES!
 
Tujikumbushe kidogo ripoti ya Mwakyembe na Fisadi Papa Rostam:-




 
Hio ripoti watu wenye akili hatuiheshimu tena ilijaaghiliba majungu na fitna ambazo zinaendelea mpaka leo
 
1.


Fisadi Mtoto

Re: Jedwali la RA: Nani hayumo?

Hio ripoti watu wenye akili hatuiheshimu tena ilijaaghiliba majungu na fitna ambazo zinaendelea mpaka leo

- Hillarious........Bwa! ha! ha! ha!!

FMES!




 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…