Uchawii sio kushika Tunguli tu na kwenda kuwangaaa....[emoji250]
Kukaa online bila hata salam nayo ni UCHAWII[emoji35]
Kusoma msg za watu wanavyochat na Profile nao ni UCHAWII[emoji51]
Kukenua mpka jino la mwsho kwa msg za kuchekesh na uc comment nao ni UCHAWII[emoji57][emoji57]
Kujaza wingi kwa Group kila link unayoona wakat hijawah kupost hata hewa uo nao ni UCHAWII[emoji274]
Kukaa kimya mda wote wakat upo online ukafikiri una mkomoa Admn wakat bando ni lako uo nao ni UCHAWII[emoji38][emoji38]
Ongezaa uchawii mwingine unaoujua...........