Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Bondia Jeff Horn jana alimchakaza vilivyo Man Pacquaiao a.k.a mzee wa ngumi cherehani ,baada ya pambano akatamba kuwa anataka pambano na bondia Floyd Mayweather .
Lakini ukiangalia haraka haraka jinsi anavyopigana huyu jamaa ,anavyorusha ngumi zake kamwe hawezi kufikisha ngumi hata 50 usoni kwa Floyd .
Jana alim bahatisha Pacquiao kwa sababu Pac defence yake ni dhaifu sana ila ingekuwa ni Floyd aisee huyu dogo asingeambulia chochote kwa sababu ngumu nyingi alizopigwa Pac ni za kijinga sana ,yaani kwa kifupi Pac si mzuri kwenye ukwepaji wa makonde
Nikawa na Imagine Pac angekuwa ni Floyd na kwa jinsi jamaa anavyorusha ngumi na kuacha uso wazi ,aisee angedokolewa mara nyingi kichizi
Floyd ana tabia ya kukwepa ngumi na muda huo huo anakurushia konde la kushtukiza hivyo basi kwa jinsi anavyopigana huyu Jeff aisee akifanikiwa kukubaliwa na Floyd atapigwa kiurahisi sana .
Lakini ukiangalia haraka haraka jinsi anavyopigana huyu jamaa ,anavyorusha ngumi zake kamwe hawezi kufikisha ngumi hata 50 usoni kwa Floyd .
Jana alim bahatisha Pacquiao kwa sababu Pac defence yake ni dhaifu sana ila ingekuwa ni Floyd aisee huyu dogo asingeambulia chochote kwa sababu ngumu nyingi alizopigwa Pac ni za kijinga sana ,yaani kwa kifupi Pac si mzuri kwenye ukwepaji wa makonde
Nikawa na Imagine Pac angekuwa ni Floyd na kwa jinsi jamaa anavyorusha ngumi na kuacha uso wazi ,aisee angedokolewa mara nyingi kichizi
Floyd ana tabia ya kukwepa ngumi na muda huo huo anakurushia konde la kushtukiza hivyo basi kwa jinsi anavyopigana huyu Jeff aisee akifanikiwa kukubaliwa na Floyd atapigwa kiurahisi sana .