Jeff na Mkewe...

fired

Senior Member
Joined
Apr 4, 2021
Posts
151
Reaction score
311
Jeff aliishi na bibiye kwa chumba na watoto wawili usiku wakati walingoja watoto walale ili kufanya ngono. Walipokua wakifanya kitanda kilitetemeshwa hadi mtoto mmoja alianguka. Mtoto akaambia mwenzake jishikilie wameanza tena.

Hapa ndipo unagundua umefeli katika maisha. Kuishi chumba ndogo kitanda kimoja bibi na watoto si mchezo.
 
Hii lafudhi bila shaka utakua ni jirani yetu weye! Na Huyo Jeff si wewe kweli?πŸ˜‰
 
Ok


huyu ni yule aliyeletea vijana MSITU bongo..? huwa ana jina la Jimbo
 
Cha mkufuhu na aki huhahu,, unaweza pigwa ngumu na ukahuha
 
Jamani liwe funzo duuh
 
"Mtoto akaambia mwenzake jishikilie wameanza tena"🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…