Jela miaka 5 kwa wizi

Jela miaka 5 kwa wizi

Rohombaya

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2011
Posts
13,067
Reaction score
10,393
Mahakama ya wilaya ya Kinondoni leo imemuhukumu mwanamke mmoja mkazi wa Tandale Imelda Elisha (28) kifungo cha miaka 5 jela kwa kosa la wizi.

Akisoma hukumu hiyo, hakimu Joel Mwambuta amesema amemtia hatiani mshtakiwa kwa kosa la wizi wa kuaminiwa baada ya kusikiliza mashahidi 3, pamoja na vielelezo ikiwemo risiti ya miamala iliyowakilishwa na Samsoni Mshana ambaye ndiyo mlalamikaji.

Akisoma hukumu hiyo bila ya kuwepo mshtakiwa ambaye ameruka dhamana ameagiza adhabu yake ianze mara tu atakapokamatwa na wakati huohuo amemuamuru mshtakiwa kulipa kiasi cha Shs 103,000/- kwa mlalamikaji.

Inadaiwa Septemba 22, 2019 mshtakiwa alipokea kiasi hicho cha pesa kutoka kwa mlalamikaji kama nauli ya kutoka Dodoma kuja Dar na hakwenda Dar Kama walivyokubaliana na wala hakurudisha fedha hizo na wala hakutoa maelezo yakuridhisha.



Sent using Beretta ARX 160
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji15][emoji44][emoji44][emoji23][emoji23][emoji44][emoji44][emoji44][emoji23]
Mahakama ya wilaya ya Kinondoni leo imemuhukumu mwanamke mmoja mkazi wa Tandale Imelda Elisha (28) kifungo cha miaka 5 jela kwa kosa la wizi.
Akisoma hukumu hiyo, hakimu Joel Mwambuta amesema amemtia hatiani mshtakiwa kwa kosa la wizi wa kuaminiwa baada ya kusikiliza mashahidi 3, pamoja na vielelezo ikiwemo risiti ya miamala iliyowakilishwa na Samsoni Mshana ambaye ndiyo mlalamikaji.
Akisoma hukumu hiyo bila ya kuwepo mshtakiwa ambaye ameruka dhamana ameagiza adhabu yake ianze mara tu atakapokamatwa na wakati huohuo amemuamuru mshtakiwa kulipa kiasi cha Shs 103,000/- kwa mlalamikaji.
Inadaiwa Septemba 22, 2019 mshtakiwa alipokea kiasi hicho cha pesa kutoka kwa mlalamikaji kama nauli ya kutoka Dodoma kuja Dar na hakwenda Dar Kama walivyokubaliana na wala hakurudisha fedha hizo na wala hakutoa maelezo yakuridhisha.



Sent using Beretta ARX 160
Samson MSHANA [emoji848][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]

Jr[emoji769]
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji15][emoji44][emoji44][emoji23][emoji23][emoji44][emoji44][emoji44][emoji23]Samson MSHANA [emoji848][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]

Jr[emoji769]
Dah..Profesa vipi unamjua ?

Sent using Beretta ARX 160
 
Yule mwana JF Aifanye hii kama riferensi.
 
Dah...ndiyo muwe mnarudisha nauli kama hamna mipango ya kwenda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii 103,000 hata kwa kuuza maji anaipata kabla ya miaka mitano

Sent using Beretta ARX 160
 
Mkazi wa tandale katumiwa nauli atoke dodoma aende dar
Mahakama ya wilaya ya Kinondoni leo imemuhukumu mwanamke mmoja mkazi wa Tandale Imelda Elisha (28) kifungo cha miaka 5 jela kwa kosa la wizi.

Akisoma hukumu hiyo, hakimu Joel Mwambuta amesema amemtia hatiani mshtakiwa kwa kosa la wizi wa kuaminiwa baada ya kusikiliza mashahidi 3, pamoja na vielelezo ikiwemo risiti ya miamala iliyowakilishwa na Samsoni Mshana ambaye ndiyo mlalamikaji.

Akisoma hukumu hiyo bila ya kuwepo mshtakiwa ambaye ameruka dhamana ameagiza adhabu yake ianze mara tu atakapokamatwa na wakati huohuo amemuamuru mshtakiwa kulipa kiasi cha Shs 103,000/- kwa mlalamikaji.

Inadaiwa Septemba 22, 2019 mshtakiwa alipokea kiasi hicho cha pesa kutoka kwa mlalamikaji kama nauli ya kutoka Dodoma kuja Dar na hakwenda Dar Kama walivyokubaliana na wala hakurudisha fedha hizo na wala hakutoa maelezo yakuridhisha.



Sent using Beretta ARX 160

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom