Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,440
Nimetazama documentary moja kuhu Miami Mega Jail. I have just been shocked kuona kumbe baadhi ya jela/ Rumande za huko USA hazina tofauti na jela zetu.
Tena mbaya zaidi hizo kwao sio Jela ni rumande za watu mabo bado hawajapatiana na makosa. Angali hizi clip
1
2
3
endelea na clip zingine youtube
Tena mbaya zaidi hizo kwao sio Jela ni rumande za watu mabo bado hawajapatiana na makosa. Angali hizi clip
1
2
3
endelea na clip zingine youtube
Last edited by a moderator: