Nimetazama documentary moja kuhu Miami Mega Jail. I have just been shocked kuona kumbe baadhi ya jela/ Rumande za huko USA hazina tofauti na jela zetu.
Tena mbaya zaidi hizo kwao sio Jela ni rumande za watu mabo bado hawajapatiana na makosa. Angali hizi clip
1
2
3
endelea na clip zingine youtube