Jelqing exercise

Jelqing exercise

bway hermit

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2017
Posts
1,337
Reaction score
2,339
Kuna njia ya ku_strengthen Na kuiongeza dhakari nimeisoma makala hiyo "juzikati" hiyo njia inaitwa Jelqing method

Je kuna yoyote mwenye kujua zaidi juu ya hiyo method nipate juzwa zaidi nanyi faida Na side effects zake.

Thank you.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
njia nyingine inairwa
MYEGEYA METHOD

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kuna njia ya ku_strengthen Na kuiongeza dhakari nimeisoma makala hiyo "juzikati" hiyo njia inaitwa Jelqing method

Je kuna yoyote mwenye kujua zaidi juu ya hiyo method nipate juzwa zaidi nanyi faida Na side effects zake.

Thank you.

Post sent using JamiiForums mobile app
mmmh hii ndio nasikia leo
 
Kuna njia ya ku_strengthen Na kuiongeza dhakari nimeisoma makala hiyo "juzikati" hiyo njia inaitwa Jelqing method

Je kuna yoyote mwenye kujua zaidi juu ya hiyo method nipate juzwa zaidi nanyi faida Na side effects zake.

Thank you.

Post sent using JamiiForums mobile app

Sasa kama umeisoma unakuja uliza nini? Unatakiwa kwanza utiririke tuijue nasisi ndo tushauri.
 
Heheh mtatafta kila njia vijana

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
Kuna njia ya ku_strengthen Na kuiongeza dhakari nimeisoma makala hiyo "juzikati" hiyo njia inaitwa Jelqing method

Je kuna yoyote mwenye kujua zaidi juu ya hiyo method nipate juzwa zaidi nanyi faida Na side effects zake.

Thank you.

Post sent using JamiiForums mobile app
Naturally wenye mizigo mikubwa wanapoteza nguvu mapema zaidi ssb misuli inachoka mapema kuhimili kunyanyuwa mzigo, na wenye vibamia wa-survive ssb ya udogo wake kunyanyuka co shida, matumizi mabaya pia ni chanzo kwa wote wa aina mbili, ujasiri wako ni uume wako kusimama jichunge sana kutumia dawa zinazohusiana na iyo dhakari utayajutia maisha, kwaheri

Sent from my GT-I9152P using JamiiForums mobile app
 
hiyo Ni Kama unavyomkamua ng'ombe maziwa,unamshika abdala kichwa waz inakua unamvuta kwq chini but sidhan Kama inaongeza kweli
 
Back
Top Bottom