huyu njemba awali alikuwa mwanamke kisha kwa utaalamu wa
sasa akawa "mwanamume" lakini akabakiza njia za kupata mimba
na kuweza kupata watoto. sasa anatarajia kujifungua mtoto
wa pili akiwa "mwanamume".
inaelekea "njemba" inataka kuwa kote kote.
http://blogs.suntimes.com/oprah/2008/1/pregnant_man_who_was_on_oprah.html