Hii timu ina washambuliaji wangapi sasa
Usajili wa kishamba kweli...mshambuliaji mwenye takwimu za kutia shaka bado unamuita jembe..au wameangalia jina la nchi kwasababu linafanana na Nigeria basi wakajua jamaa anaweza???lawama zote kwa TFF hakuna utaratibu wa kuelewela kuhusu vigezo vya kusajili wachezaji wa nje
nachukia timu yangu Yanga na taifa stars sababu yakuwa na ubia na chama cha mapinduzi
Afrika ya Magharibi kunaongoza sana kuwa na matapeli.
Poleni Yanga kwa kutapeliwa mchana kweupe.
siasa tutafanya tena 2020 hivi sasa #hapakazitu , ndani ya simba kuna wana-ccm na ndani ya yanga kuna wana-ccm pia, sasa wewe nini kinakukwaza?
mfano kama wewe hivi mwana ccm ulivyo comment hapa
wanaccm wanazitumia vibaya hizi timu wengi wanakimbilia kwenye nafasi za juu za uongozi wa klabu kwa mitaji yao ya kisiasa,mpaka leo hizi timu zinategemea wafadhili sio wadhamini,kuna matatizo mengi sana ndani ya hizi timu yanayo sababishwa na nyie wanaccmSiyo CCM tu hata ndani ya Yanga kuna UKAWA na ndani ya Simba kuna UKAWA pia!
CONCLUSION:
Unaweza kupenda Yanga ukiwa mwana CCM au ukapenda Yanga ukiwa mwana UKAWA hivyo hakuna haja ya kukwazika.
Uzuri wa haya mambo yanakipimo chake uwanjani. Unaweza kumtukana huyu mchezaji kuwa hafai halafu akaja kung'ara kuliko wote, au unaweza kumsifia akaja kuwa hovyo kuliko wote. Jawabu zuri hapa, tusubiri tuone uchezaji wake.
Siasa tutafanya tena 2020 hivi sasa #Hapakazitu , ndani ya Simba kuna wana-CCM na ndani ya Yanga kuna wana-CCM pia, sasa wewe nini kinakukwaza?