witnessmwanga
Member
- Feb 16, 2013
- 8
- 0
Wana jf kunajamaa mmoja anaitwa bernard adam(mzaliwa wa irente mhelo lushoto) amezaliwa lushoto na kusoma lushoto. Kwa sasa anasoma masters of education chuo kikuu cha tumaini makumira mkoani arusha. Alishawahi kuwa 1.waziri wa elimu wa chuo hicho 2010/2011 2.rais wa chuo hicho 2011/2012 3.kamishna wa serikali za vyuo vikuu kanda ya kanda ya kaskazini 2011/2012 4.kwa sasa ni katibu wa utamaduni na maadili wa wanafunzi wa nchi za afrika mashariki 2012/2013 wakati akiwa waziri wa elimu wa chuo hichi alifanya kazi kwa bidii na maarifa na alipogombea urais alikuwa na wapinzani wa2 ambao aliwabwaga chini na baadae akawaita washirikiane kwenye baraza lake na wakatii. Nimetafuta namba zake nimezipapa ni 0767 na o655 523679.wana lushoto mtumieni huyu jamaa mana aliipa serikali masaa 24 kutengeneza matuta kwa shinikizo la mgomo baada ya kufariki mwanafunzi emanuel olomi 13/11/1211 na serikali ikatii mana jamaa huyu ni jembe.