political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
- Thread starter
-
- #21
Priva ni kama konokono jinsia mbili [emoji23][emoji23][emoji23]Priva si ndiyo wale wa jinsia ya tatu.
Dah nimecheka Sana [emoji23][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji28][emoji1787][emoji28][emoji1787]Simameni spidernyoka napita
Pale wenye akili mlishaambiwa ni ✌🏽Ni wanachi wanao shabikia Yanga tu ndiyo wana akili kwenye nchi hii
Yule Privah keshakuwa kama kachanganyikiwa.Kutwa kanapiga mayowe utadhani kitoto cha form two.Anaemdanganya kuwa style ya kusurvive pale Yanga ni kuwa Chawa kumzidi Manara kuwafurahisha maboss zake amempotosha sana.Watu wazima wanyanyuke kumpigia Hersi wa Yanga makofi? Wanahayawani labda. Utopolo pro max
Darlin kampigie rais wenu makofi.
Kazi za kufanya kwa kujipendekeza yataka moyo na kujitoa akili kweli kweli.Inashangaza sana kama hii kauli ilisemwa..
Unamwamini huyo dume suruali?Inashangaza sana kama hii kauli ilisemwa..
MAKOLO BANA!WANATESEKA MNOOOWatu wazima wanyanyuke kumpigia Hersi wa Yanga makofi? Wanahayawani labda. Utopolo pro max
Darlin kampigie rais wenu makofi.
Mnoo tena uwe zuzu kweli kweliKazi za kufanya kwa kujipendekeza yataka moyo na kujitoa akili kweli kweli.
Ni jemedari kama jina lake, ANAPENDA VITA.Ila huyu Jemedari atakua na shida mahali, sio bure.
Hili linathibitisha akili ya asiye akili. Yaani ualikwe sherehe ya kumpongeza adui yako na wewe upeleke tumbo?AMEWAJIBU WANAOULIZA IKULU ALIFATA NINI.
Mtangazaji wa kituo cha utangazaji cha Redio na Television Tv E JEMEDARI Saidi, amejibu hoja za wanayanga ambao walikua wanahoji kua jana alifanya nini pale ikulu?
Amejibu kama hivi;-
"Mimi na Yanga wote tulikua waalikwa pale sio jangwani pale ni ikulu, Yanga sio kwao na mimi sio kwangu wote sio kwetu.
"Jambo kama lingekuwa la kwao nisingekuja kwamaana kwamba wasingenialika, lile jambo halikua lakwao wao wamealikwa kwenda kupongezwa sisi tumealikwa kama wadau"
"Raisi alipozungumzia swala la Feisal kweli nilipiga makofi sana''
"Nilipokua nimekaa kwa nyuma yangu alikua amekaa Privadinho wakati Raisi wa Yanga herisi anaingia IKULU priva akawa amesema tusimame tupige makofi akiwa anapita nikamjibu umechanganyikiwa nini Raisi wa Yanga hapigiwi makofi" amesema Jemedari Saidi (voice of voiceView attachment 2647813
Mkuu, Hilo swali aliulizwa na muendesha kipindi na sio mashabiki wa yanga, lakini pia wewe unaelewa protocol, ikulu wanasimama akiwa anaingia rais wa nchi tu na sio wengineSoka la bongo watu wanataka kujiona wakubwa sana kumbe hawana lolote jemedari anachofanya wengi hawamuelewi kwakua wanauoga wa kijinga haya mambo ya kushobokea timu kubwa ni utumwa tu. Bora ujenge brand yako watubwakuelewe kua unamisimamo. Alafu swala la ikulu linaeleweka wote ni waalikwa kuuliza kafuata nini kwani wao yanga au simba walioko pale walifuata nn. Na swala la kusimama kisa herisi anapita ni umama hana la maana yule kenge tu
Naweza nikasema rasmi kuwa huyu jamaa hajielewi.AMEWAJIBU WANAOULIZA IKULU ALIFATA NINI.
Mtangazaji wa kituo cha utangazaji cha Redio na Television Tv E JEMEDARI Saidi, amejibu hoja za wanayanga ambao walikua wanahoji kua jana alifanya nini pale ikulu?
Amejibu kama hivi;-
"Mimi na Yanga wote tulikua waalikwa pale sio jangwani pale ni ikulu, Yanga sio kwao na mimi sio kwangu wote sio kwetu.
"Jambo kama lingekuwa la kwao nisingekuja kwamaana kwamba wasingenialika, lile jambo halikua lakwao wao wamealikwa kwenda kupongezwa sisi tumealikwa kama wadau"
"Raisi alipozungumzia swala la Feisal kweli nilipiga makofi sana''
"Nilipokua nimekaa kwa nyuma yangu alikua amekaa Privadinho wakati Raisi wa Yanga herisi anaingia IKULU priva akawa amesema tusimame tupige makofi akiwa anapita nikamjibu umechanganyikiwa nini Raisi wa Yanga hapigiwi makofi" amesema Jemedari Saidi (voice of voiceView attachment 2647813
hili jinga mnahangaika nalo la niniAMEWAJIBU WANAOULIZA IKULU ALIFATA NINI.
Mtangazaji wa kituo cha utangazaji cha Redio na Television Tv E JEMEDARI Saidi, amejibu hoja za wanayanga ambao walikua wanahoji kua jana alifanya nini pale ikulu?
Amejibu kama hivi;-
"Mimi na Yanga wote tulikua waalikwa pale sio jangwani pale ni ikulu, Yanga sio kwao na mimi sio kwangu wote sio kwetu.
"Jambo kama lingekuwa la kwao nisingekuja kwamaana kwamba wasingenialika, lile jambo halikua lakwao wao wamealikwa kwenda kupongezwa sisi tumealikwa kama wadau"
"Raisi alipozungumzia swala la Feisal kweli nilipiga makofi sana''
"Nilipokua nimekaa kwa nyuma yangu alikua amekaa Privadinho wakati Raisi wa Yanga herisi anaingia IKULU priva akawa amesema tusimame tupige makofi akiwa anapita nikamjibu umechanganyikiwa nini Raisi wa Yanga hapigiwi makofi" amesema Jemedari Saidi (voice of voiceView attachment 2647813