KASULI
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 599
- 677
Binafsi huwa nashangazwa sana na mtifuano wa huyu mwamba na Semaji la Nchi, Haji Sunday Manara.
Ni watu wawili ambao kimsingi naona kama wanavuka mstari linapokuja suala la Simba na Yanga
Wanapigana vijembe na mara nyingine kuneneana mabaya.
Hivi ni kweli Jemedari Said hajui Kingereza? Je, ni kweli elimu yake ni ya kuunga unga mwana?
Binafsi niliwahi kusikia kuwa Jemedari aliwahi kuwa mchezaji wa daraja la kati akicheza Kariakoo Lindi, Meneja wa Azam FC, lakini pia amewahi kuwa Afisa wa TFF.
JE, KOTE HUKO ALIPATA AJIRA AKIWA KAMA MCHEZAJI WA ZAMANI au ana elimu ya "Kufiti" nyazifa hizo?
Je, ni kweli hata EFM wamempa kibarua kwa kuwa aliwahi kuwa mchezaji wa zamani au ana sifa za kielimu za kuwa mchambuzi au mwanahabari?
Vipi kuhusu hasimu wake Haji Manara?
Ni watu wawili ambao kimsingi naona kama wanavuka mstari linapokuja suala la Simba na Yanga
Wanapigana vijembe na mara nyingine kuneneana mabaya.
Hivi ni kweli Jemedari Said hajui Kingereza? Je, ni kweli elimu yake ni ya kuunga unga mwana?
Binafsi niliwahi kusikia kuwa Jemedari aliwahi kuwa mchezaji wa daraja la kati akicheza Kariakoo Lindi, Meneja wa Azam FC, lakini pia amewahi kuwa Afisa wa TFF.
JE, KOTE HUKO ALIPATA AJIRA AKIWA KAMA MCHEZAJI WA ZAMANI au ana elimu ya "Kufiti" nyazifa hizo?
Je, ni kweli hata EFM wamempa kibarua kwa kuwa aliwahi kuwa mchezaji wa zamani au ana sifa za kielimu za kuwa mchambuzi au mwanahabari?
Vipi kuhusu hasimu wake Haji Manara?