Jemedari said: Simba kapigwa 5-1 kwenye jezi pia

Sawa tufanye Jemedari anajipendekeza kwa GSM na tunaamini kabisa wewe hujipendekezi kwa GSM haya sasa tuambie jezi ya Yanga na ya Simba ipi ni nzuri, ipi ni viwango?

Yaani sema kabisa tu ukweli wako
Akikujibu nitag.... afu kuna ile ya kijani ile unaweza enda nayo pale ofisi za NBC ukapewa mkopo bila maandishi wala dhamana...
 
Kwa jezi hizo mbili.

Jezi ya yanga ni nzuri, wakati jezi zetu ni zipo zipo tu.
Shida tu siwezi kuvaa jezi ya yanga hata kwa bahati mbaya, ila ni jezi nzuri.
Unadhani Simba tunafeli wapi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…