toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
dSi naskia ni Sandaland
Uhalisia, simba tupo tupo tu.Nimecheka mkuu 😂😂😂😂😂 daaah huko x majaamaa yanatukana kina mangungu mpaka noma
Duuh sure??ama kama vipi hao viongozi wa simba wangekuwa wanadili na madizaina wa fashion hapa bongo inakuwa kama tenda vile kila kijana mwenye kuweza apeleke sample yako ikiwa kwenye mfumo wa picha dizaini atakayekuwa mzuri anapewa mshiko hata wa milioni mbili,hapa tungekuwa na jezi nzuri.....na iko ndicho anachokifanya dizaina wa yanga bwana sheria ngowi anadiligi na vijana wenye talenti
Kwa jezi hizo mbili.
Jezi ya yanga ni nzuri, wakati jezi zetu ni zipo zipo tu.
Shida tu siwezi kuvaa jezi ya yanga hata kwa bahati mbaya, ila ni jezi nzuri.
Utaratibu mzuri sanaama kama vipi hao viongozi wa simba wangekuwa wanadili na madizaina wa fashion hapa bongo inakuwa kama tenda vile kila kijana mwenye kuweza apeleke sample yako ikiwa kwenye mfumo wa picha dizaini atakayekuwa mzuri anapewa mshiko hata wa milioni mbili,hapa tungekuwa na jezi nzuri.....na iko ndicho anachokifanya dizaina wa yanga bwana sheria ngowi anadiligi na vijana wenye talenti
Ile ni kisu mkuu kila mwaka ya motoUshafuatilia jezi za arsenal!?
Kwa hizi jezi...labda agawe bure ....ndipo kina Kalpana watazifuata [emoji23][emoji23]Hahahaa ana maspika yake makubwa kayaweka shop pale yanapiga kelele kweli yan kuvutia wateja waende wakadake jezi, aisee hatariii, alafu namwonaga studio hapa njia panda ya mwananyamala nyuma ya roby one fashion sijui anajenga gorofa pale, noma sana
Hahahaha,jamaa nilimshangaa sana na ule uzi wakeNiliona hili suala la jezi .....lisikupite mkuu
Utufanyie analysis ya jezi....kama ule Uzi wa jezi ya Yanga nzito
Kudadeq [emoji23][emoji23]CHAMA tattoo yake iwe matakoniView attachment 2822007
Mimi siwezi kuvaa jezi ya Uto.Au tumuonyeshe na picha View attachment 2821860
Hahahahahahaha, sawa sawaMimi siwezi kuvaa jezi ya Uto.
Ninachofanya namnunulia demu wangu, niwe naiona ilivyo nzuri.