Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Akiumia anamrudishia bao 5Bado utakuwa unaumia
Hapa nakubaliii, wawe wana badilisha pia.Mbaya zaidi wanakariri rangi,,
--nyekundu
--Nyeupe
-- blue
Hivi mshabiki aatakuwa na jezi ngapi zinazofanana rangi?
Miaka yote jezi za simba rangi hizo hizo.
Kabisa mkuu,,Hapa nakubaliii, wawe wana badilisha pia.
Designer tu mkuu , hakuna mchawiUnadhani Simba tunafeli wapi mkuu
Labda ana asili ya mkinga...... mhindi au mchaga [emoji1]
Kama naniliu yako[emoji85]😀😀😀😀😀😀😀
Nzuri kama nini ....
AiseeeeCHAMA tattoo yake iwe matakoniView attachment 2822007
Mloge tu aside anashika simu yake.
aliomba msaada wa kodi kwa hersi akanyimwa ikawa balaaHuyo mmakonde njaa inamsumbua anajipendekeza ili avute kitu kidogo kwa Ghalib
HahahahaSijui Simba Ina laana gani. Wanashindwa kutafuta designer?. Halafu wanahangaika na Visit Tanzania wakati hawambulii hata Shilingi kumi.
Uko sahihi kabisa.Kabisa mkuu,,
Mara nyingi timu zinakuwa zinakuwa na jezi ya home ambayo ni rangi maalum,
Ila zile za away kit huwa zinabadilika badilika hawana rangi maalum.
Sasa mshabiki kila mwaka unanunuwa jezi 3 rangi moja..
Upuuzi mtupu.
Kaziii ipoo.Disigner ni chaguo la tajiri
Jemadari ni kama Haji Manara anaangalia maokoto tuNadhani hata ww unaelewa jinsi jemedari ambacho haipendi yanga
Yaan wewe ni kama mimi nikiingia maduka ya GSM roho inaniuma saana jinsi nyuzi za yanga zilivyotamu, nabaki kumpointia mshkaji wangu tuu ambaye ni shabiki wa utoo.... inauma saana yani😪😪😪Kwa jezi hizo mbili.
Jezi ya yanga ni nzuri, wakati jezi zetu ni zipo zipo tu.
Shida tu siwezi kuvaa jezi ya yanga hata kwa bahati mbaya, ila ni jezi nzuri.
Kabisa kaka, wenzetu wana uzi mzuri, sie tunapuyanga tu.Yaan wewe ni kama mimi nikiingia maduka ya GSM roho inaniuma saana jinsi nyuzi za yanga zilivyotamu, nabaki kumpointia mshkaji wangu tuu ambaye ni shabiki wa utoo.... inauma saana yani😪😪😪