Jemedari: Saido ndiye mfungaji bora halali

Jemedari: Saido ndiye mfungaji bora halali

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Kutoka Johari Rotana mpaka kwenye ‘Banda la Video’ pamoja na maelezo ya kujivunia kwamba tunafanya kwenye ukumbi wetu lakini ulipaswa kuwa uliokamilika na wenye hadhi ya kuendana na thamani ya Ligi ya 5 kwa ubora Afrika, huwezi kujivunia kuona sherehe za tuzo zinafanyika sehemu kama banda la video la Majohe Kwa-Baba Isaa, zingine siasa tu.

Watu wanasahau kwamba hii ni 2023 na shughuli ipo LIVE na kuonekana sehemu kubwa Duniani? Iliyotambulishwa kama Kamati ya maandalizi ya sherehe za tuzo ilikuwa na kazi gani? Imeongeza nini kipya kama sherehe tumefanya kwenye mahema, kamati ya tuzo ile ya kawaida isngeweza hili?

Mfungaji bora wa Ligi ya wanawake anapewa tuzo, Video inaonyesha wakati anakosa bao! Hakukua na video akiwa anafunga?

Kipa bora kuna haja ya kuwashindanisha wakati vigezo ni wazi kama vya mfungaji bora tu unless kuna sintofahamu kama ile iliyojitokeza kwenye ufungaji.

Mchezaji bora wa U20 sio mchezaji bora chipukizi, naambiwa hiyo U20 ni msimu uliopita kwakuwa msimu huu haijafanyika, Kamati ya tuzo iangaliwe.

Wakati beki bora anatafutwa tunaonyeshwa mabeki wakiwa wanafunga mabao kuliko kuonyeshwa kazi za kibeki, Kamati haina watu wa ufundi? Kamati iangaliwe hii inaturudisha nyuma.

Siku ya tuzo nominees wanabaki 3 lakini kwetu kwenye category za kiungo bora, beki bora, goli bora na mchezaji bora walikuwa wagombea 5 mpaka siku ya utoaji zawadi, Kamati ilijisahau au?

Kamati imepatia kwenye suala la mfungaji bora, iliweka upuuzi pembeni ikasimamia weledi.

MVP angeweza kuwa Saido au Mayele na kwakuwa tuzo ni branding pia hapa walikuwa na watu sahihi.

Mayele amaeibuka kinara ingawa Saido kwangu amemzidi Mayele values, hapa ndo ilikuwa sehemu ya kuangalia technical aspects, kwa kiungo mchezeshaji kuwa na mabao sawa na mshambuliaji kinara, kufanya kazi yake ya kutengeneza mabao kwa assist 12 hivyo kuhusika katika mabao 29, tuzo ya fair play na kiungo bora wa msimu, kwa maoni yangu Saido alifaa zaidi ingawa naheshimu maamuzi ya kamati.

Rais wa TFF aliomba tuwakosoe ila tuangalie namna kwakuwa wao pia binadamu, ila nadhani hapa siwezi kuwa adui kwa kusema ukweli.

BIN KAZUMARI (The voice of the voiceless)

My Take
Hivi sisi tunaweza nini. Mbona kila kitu hovyo hovyo tu.
 
Kutoka Johari Rotana mpaka kwenye ‘Banda la Video’ pamoja na maelezo ya kujivunia kwamba tunafanya kwenye ukumbi wetu lakini ulipaswa kuwa uliokamilika na wenye hadhi ya kuendana na thamani ya Ligi ya 5 kwa ubora Afrika, huwezi kujivunia kuona sherehe za tuzo zinafanyika sehemu kama banda la video la Majohe Kwa-Baba Isaa, zingine siasa tu.

Watu
Hivi sisi tunaweza nini. Mbona kila kitu hovyo hovyo tu.
Tuzo zilioneshwa TBC1?

Maana nimevizia weeh..patupu. au taimingi yangu haikua sawa..
 
Kutoka Johari Rotana mpaka kwenye ‘Banda la Video’ pamoja na maelezo ya kujivunia kwamba tunafanya kwenye ukumbi wetu lakini ulipaswa kuwa uliokamilika na wenye hadhi ya kuendana na thamani ya Ligi ya 5 kwa ubora Afrika, huwezi
Hivi sisi tunaweza nini. Mbona kila kitu hovyo hovyo tu.
Kijana wa hovyo, uchawa uchawa uchawa
 
HILI TAIFA SIJUI LIMEROGWA NA NANI.

KUTOA TUZO TU NI NGUMU.

Hakuna aliyestahili TUZO hata mmoja.

Hakuna mchezaji aliyepata TUZO ya halali.
 
Mawazo yangu kuhusu tuzo:

Ukizingatia maana ya MVP si tu kwa timu bali kwa ligi nzima, Mayele alistahili tuzo ya MVP. Saido siyo MVP hata ndani ya Simba.

Inabidi wabuni muonekano wa tuzo wanazotoa ili ikiwezekana zote ziwe zinafanana na wasiwe wanabadili kila msimu. Tuzo pekee ambayo kidogo iwe tofauti ni ya MVP na hii tofauti iwe labda kwenye ukubwa ila muonekano uwe sawa na zingine kwa kiasi kikubwa.

Kwa kutoa wachezaji 6 katika kikosi bora cha msimu, inadhihirisha kwa mara nyingine tena kuwa pamoja na kukosa makombe, performance ya Simba haikuwa mbaya kama baadhi ya watu wanavyotaka tuamini. Hili nimekuwa nalisema mara kwa mara.

Ni kweli ukumbi ulikuwa mbovu, wahudhuriaji hawaonekani vizuri na wamekaa kama wako darasani. Sijui kwa nini watanzania wanapenda kukaa kwenye giza. Kwa setup ile sidhani kama gharama zilikuwa chini kulinganisha na kukodi ukumbi.
 
Kutoka Johari Rotana mpaka kwenye ‘Banda la Video’ pamoja na maelezo ya kujivunia kwamba tunafanya kwenye ukumbi wetu lakini ulipaswa kuwa uliokamilika na wenye hadhi ya kuendana na thamani ya Ligi ya 5 kwa ubora Afrika, huwezi kujivunia kuona sherehe za tuzo zinafanyika sehemu kama banda la video la Majohe Kwa-Baba Isaa, zingine siasa tu.

Watu wanasahau kwamba hii ni 2023 na shughuli ipo LIVE na kuonekana sehemu kubwa Duniani? Iliyotambulishwa kama Kamati ya maandalizi ya sherehe za tuzo ilikuwa na kazi gani? Imeongeza nini kipya kama sherehe tumefanya kwenye mahema, kamati ya tuzo ile ya kawaida isngeweza hili?

Mfungaji bora wa Ligi ya wanawake anapewa tuzo, Video inaonyesha wakati anakosa bao! Hakukua na video akiwa anafunga?

Kipa bora kuna haja ya kuwashindanisha wakati vigezo ni wazi kama vya mfungaji bora tu unless kuna sintofahamu kama ile iliyojitokeza kwenye ufungaji.

Mchezaji bora wa U20 sio mchezaji bora chipukizi, naambiwa hiyo U20 ni msimu uliopita kwakuwa msimu huu haijafanyika, Kamati ya tuzo iangaliwe.

Wakati beki bora anatafutwa tunaonyeshwa mabeki wakiwa wanafunga mabao kuliko kuonyeshwa kazi za kibeki, Kamati haina watu wa ufundi? Kamati iangaliwe hii inaturudisha nyuma.

Siku ya tuzo nominees wanabaki 3 lakini kwetu kwenye category za kiungo bora, beki bora, goli bora na mchezaji bora walikuwa wagombea 5 mpaka siku ya utoaji zawadi, Kamati ilijisahau au?

Kamati imepatia kwenye suala la mfungaji bora, iliweka upuuzi pembeni ikasimamia weledi.

MVP angeweza kuwa Saido au Mayele na kwakuwa tuzo ni branding pia hapa walikuwa na watu sahihi.

Mayele amaeibuka kinara ingawa Saido kwangu amemzidi Mayele values, hapa ndo ilikuwa sehemu ya kuangalia technical aspects, kwa kiungo mchezeshaji kuwa na mabao sawa na mshambuliaji kinara, kufanya kazi yake ya kutengeneza mabao kwa assist 12 hivyo kuhusika katika mabao 29, tuzo ya fair play na kiungo bora wa msimu, kwa maoni yangu Saido alifaa zaidi ingawa naheshimu maamuzi ya kamati.

Rais wa TFF aliomba tuwakosoe ila tuangalie namna kwakuwa wao pia binadamu, ila nadhani hapa siwezi kuwa adui kwa kusema ukweli.

BIN KAZUMARI (The voice of the voiceless)

My Take
Hivi sisi tunaweza nini. Mbona kila kitu hovyo hovyo tu.
Yaani huyu jamaa mbwiga wa mbwiga Jemedari Said Kazumari siku haipiti bila kuikandia Yanga, umbwa namba moja huyu.
 
Mawazo yangu kuhusu tuzo:

Ukizingatia maana ya MVP si tu kwa timu bali kwa ligi nzima, Mayele alistahili tuzo ya MVP. Saido siyo MVP hata ndani ya Simba.

Inabidi wabuni muonekano wa tuzo wanazotoa ili ikiwezekana zote ziwe zinafanana na wasiwe wanabadili kila msimu. Tuzo pekee ambayo kidogo iwe tofauti ni ya MVP na hii tofauti iwe labda kwenye ukubwa ila muonekano uwe sawa na zingine kwa kiasi kikubwa.

Kwa kutoa wachezaji 6 katika kikosi bora cha msimu, inadhihirisha kwa mara nyingine tena kuwa pamoja na kukosa makombe, performance ya Simba haikuwa mbaya kama baadhi ya watu wanavyotaka tuamini. Hili nimekuwa nalisema mara kwa mara.

Ni kweli ukumbi ulikuwa mbovu, wahudhuriaji hawaonekani vizuri na wamekaa kama wako darasani. Sijui kwa nini watanzania wanapenda kukaa kwenye giza. Kwa setup ile sidhani kama gharama zilikuwa chini kulinganisha na kukodi ukumbi.
Hiyo ya wachezaji 6 ni kuwapoza tu, ina maana Azam na timu zinginezo hazikuwa na wachezaji wazuri.
 
Hiyo ya wachezaji 6 ni kuwapoza tu, ina maana Azam na timu zinginezo hazikuwa na wachezaji wazuri.
Katika wale 6 ungemtoa nani ukizingatia rekodi za Simba msimu huu? Azam hamna kitu pale mnawakuza tu. Bruno mwenyewe ningekuwa mimi nisingemuweka.

Kuna uzi nilileta juzi nikisema ligi imeelemea sana upande wa timu mbili Simba na Yanga, wewe angalia msimamo wa ligi. Hata Azam na SBS siyo washindani kihivyoo kwa mbio za ubingwa.
 
Mawazo yangu kuhusu tuzo:

Ukizingatia maana ya MVP si tu kwa timu bali kwa ligi nzima, Mayele alistahili tuzo ya MVP. Saido siyo MVP hata ndani ya Simba.

Inabidi wabuni muonekano wa tuzo wanazotoa ili ikiwezekana zote ziwe zinafanana na wasiwe wanabadili kila msimu. Tuzo pekee ambayo kidogo iwe tofauti ni ya MVP na hii tofauti iwe labda kwenye ukubwa ila muonekano uwe sawa na zingine kwa kiasi kikubwa.

Kwa kutoa wachezaji 6 katika kikosi bora cha msimu, inadhihirisha kwa mara nyingine tena kuwa pamoja na kukosa makombe, performance ya Simba haikuwa mbaya kama baadhi ya watu wanavyotaka tuamini. Hili nimekuwa nalisema mara kwa mara.

Ni kweli ukumbi ulikuwa mbovu, wahudhuriaji hawaonekani vizuri na wamekaa kama wako darasani. Sijui kwa nini watanzania wanapenda kukaa kwenye giza. Kwa setup ile sidhani kama gharama zilikuwa chini kulinganisha na kukodi ukumbi.
Ushabiki wa ovyo hasa Kwa wachambuzi unaharibu soka la nchi hii. Leo umekuwa mkweli Sana kuhusu tuzo ya MVP.
Most
VALUABLE
Player.
Hivi neno value tunaanza kulishusha hadhi kiasi hiki? Kwamba ndani ya Simba mchezaji anayepaswa kupewa thamani kubwa ya mchango wake Kwa timu msimu huu ni Saidoo?
Kwamba ndani ya Geita Gold mchezaji aliyeipa thamani timu Tangu mwanzo wa Ligi mpaka mwisho ni Saidoo?
Simba kindakindaki wanaojua mpira wapo hapa waseme kama mchezaji Bora wa timu msimu huu ni Saidoo??
VALUE??? VALUABLE?? Hili neno labda Lina maana nyingi.
Asante mchangiaji.
 
Ushabiki wa ovyo hasa Kwa wachambuzi unaharibu soka la nchi hii. Leo umekuwa mkweli Sana kuhusu tuzo ya MVP.
Most
VALUABLE
Player.
Hivi neno value tunaanza kulishusha hadhi kiasi hiki? Kwamba ndani ya Simba mchezaji anayepaswa kupewa thamani kubwa ya mchango wake Kwa timu msimu huu ni Saidoo?
Kwamba ndani ya Geita Gold mchezaji aliyeipa thamani timu Tangu mwanzo wa Ligi mpaka mwisho ni Saidoo?
Simba kindakindaki wanaojua mpira wapo hapa waseme kama mchezaji Bora wa timu msimu huu ni Saidoo??
VALUE??? VALUABLE?? Hili neno labda Lina maana nyingi.
Asante mchangiaji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee usemee kwa kuwa kamsifia mayelee bas, hapo roho yako kwatuuu. Hizi nyingne mbwembwee tyuuh.
 
Ushabiki wa ovyo hasa Kwa wachambuzi unaharibu soka la nchi hii. Leo umekuwa mkweli Sana kuhusu tuzo ya MVP.
Most
VALUABLE
Player.
Hivi neno value tunaanza kulishusha hadhi kiasi hiki? Kwamba ndani ya Simba mchezaji anayepaswa kupewa thamani kubwa ya mchango wake Kwa timu msimu huu ni Saidoo?
Kwamba ndani ya Geita Gold mchezaji aliyeipa thamani timu Tangu mwanzo wa Ligi mpaka mwisho ni Saidoo?
Simba kindakindaki wanaojua mpira wapo hapa waseme kama mchezaji Bora wa timu msimu huu ni Saidoo??
VALUE??? VALUABLE?? Hili neno labda Lina maana nyingi.
Asante mchangiaji.

Ile tuzo ya mchezaji bora ilitakiwa ile kati ya Chama au Mayele kwa maana hao ndiyo kama wanabeba sura ya ligi yetu kwa sasa. Hao pia ndiyo wachezaji bora hata katika timu zao ingawa ukiniuliza mimi nitakwambia Chama kiwango kimeshuka na tukio alilofanya Chama mwishoni mwa ligi lingemnyima hiyo tuzo automatically ila Chama hakuwepo hata katika wanaowania ile tuzo.

Tukienda kwa takwimu pekee, Saido ndiyo mchezaji bora.
 
Back
Top Bottom