mwanazuoni jenerali anatuambia:
"Tunachagua kama vipofu, kisha tunalalama kama vichaa. Sasa tuamue: ama tuchague viongozi wetu kwa makini, au tukae kimya wakati wakitunyanyasa. Wachagua hovyo wasiwe wasema hovyo wakitendewa hovyo."
:dance: wakuu hii imekaaje?
Source: Raia Mwema
the best of the best... inatakiwa wapinzani waibebe kama ilivyo na kuweka kwenye moto yaomwanazuoni jenerali anatuambia:
"Tunachagua kama vipofu, kisha tunalalama kama vichaa. Sasa tuamue: ama tuchague viongozi wetu kwa makini, au tukae kimya wakati wakitunyanyasa. Wachagua hovyo wasiwe wasema hovyo wakitendewa hovyo."
:dance: wakuu hii imekaaje?
Source: Raia Mwema