Jenerali on monday yupo mkinga anachambua baadhi ya vifungu vya rasimu ya katiba.

Jenerali on monday yupo mkinga anachambua baadhi ya vifungu vya rasimu ya katiba.

Breki sina

Member
Joined
Jun 3, 2013
Posts
96
Reaction score
32
Anasema ni hatari sana kwa jinsi ambavyo rasimu imependekeza kuhusu eneo la bahari ya hindi kuwa ni eneo la Zanzibar na Tanganyika wakati eneo la maji lina sheria zao kimataifa anahisi litaleta shida huko mbele ya safari kwa sababu baharini ikitokea kukawa na mafuta je huoni kutakuwa na mgongano ni nani amiliki raslimali hiyo,anadai kwa mujibu wa katiba ya 1977 eneo la muungano wa Tanzania ni eneo la maili 200 kwenye bahari kutoka Pemba hadi Unguja.
 
Watanganyika hamna ujanja tena wa kuwadhulumu wa waz'bq,mmeishiwa,tanganyika na bahari wapi na wapi?
 
Anasema ni hatari sana kwa jinsi ambavyo rasimu imependekeza kuhusu eneo la bahari ya hindi kuwa ni eneo la Zanzibar na Tanganyika wakati eneo la maji lina sheria zao kimataifa anahisi litaleta shida huko mbele ya safari kwa sababu baharini ikitokea kukawa na mafuta je huoni kutakuwa na mgongano ni nani amiliki raslimali hiyo,anadai kwa mujibu wa katiba ya 1977 eneo la muungano wa Tanzania ni eneo la maili 200 kwenye bahari kutoka Pemba hadi Unguja.

Aliyewaroga ashakufa.
 
Back
Top Bottom