Elections 2010 Jenerali Shimbo, Damu imeshaanza kumwagika...

Elections 2010 Jenerali Shimbo, Damu imeshaanza kumwagika...

Tuko

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
11,180
Reaction score
7,346
Mzee ulisema kuwa hakuna damu itakayomwagika katika uchaguzi huu. Lakini tokea wiki iliyopita pale watu wawili walipouwawa katika mapigano ya wana-CCM na wana-CHADEMA huko Njombe, bado hujatoa tamko wala sijasikia umechukua hatua yeyote.

Au ulimaanisha nini uliposema damu haitamwagika? Watu wanapigwa, mfano mgombea ubunge jimbo la Morogoro Kusini, Bw. Abeid Tembo alishambuliwa na mashabiki wa CCM na kumjeruhi, na alitokwa damu.

Mbona uko kimya? ...
 
Shimbo hakuwa anajua anachoongea, alikuwa anatimiza amri kwa kusoma aliyopewa

CCM ndiyo itakayoanza kurusha first bullet
 
Mzee ulisema kuwa hakuna damu itakayomwagika katika uchaguzi huu. Lakini tokea wiki iliyopita pale watu wawili walipouwawa katika mapigano ya wana-CCM na wana-CHADEMA huko Njombe, bado hujatoa tamko wala sijasikia umechukua hatua yeyote.

Au ulimaanisha nini uliposema damu haitamwagika? Watu wanapigwa, mfano mgombea ubunge jimbo la Morogoro Kusini, Bw. Abeid Tembo alishambuliwa na mashabiki wa CCM na kumjeruhi, na alitokwa damu.

Mbona uko kimya? ...
Ulininukuu vibaya:hand::hand::hand:.
Sikumaanisha hivyo unavyotaka wewe iwe!
Eeerrr...nilikuwa nasema......... eeeeerrrr...i mean , of coz, this situation is......sio kama nilivyosema...nadhani unaelewa!
 
Ulininukuu vibaya:hand::hand::hand:.
Sikumaanisha hivyo unavyotaka wewe iwe!
Eeerrr...nilikuwa nasema......... eeeeerrrr...i mean , of coz, this situation is......sio kama nilivyosema...nadhani unaelewa!
..and the story goes like that!
 
Shame upon him and his magwanda...
 
Back
Top Bottom