Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
Leo nimejikuta nawaza!
Nini hasa ambacho kipo nyuma ya pazia kati ya Hayati Magufuli na Jenerali Ulimwengu?
Msingi wa swali langu unatokana na maneno ya Jenerali Ulimwengu kwa Hayati Magufuli! Sijawahi kumsikia Mzee Ulimwengu akimsema Magufuli kwa mazuri, na hili limeingia mpaka kwenye gazeti lake la RAIA MWEMA.
Mzee Ulimwengu namfananisha na Mzee kule Club House nahisi anaitwa "Abiud" yeye ata ukimuuliza nitajie zuri moja tu la Magufuli ye atakujibu hajawahi kuona hata punje ya zuri lake always kila alilofanya Magufuli lilikuwa baya.
Angalia kichwa cha habari cha gazeti la leo la Raia Mwema.
Nini hasa ambacho kipo nyuma ya pazia kati ya Hayati Magufuli na Jenerali Ulimwengu?
Msingi wa swali langu unatokana na maneno ya Jenerali Ulimwengu kwa Hayati Magufuli! Sijawahi kumsikia Mzee Ulimwengu akimsema Magufuli kwa mazuri, na hili limeingia mpaka kwenye gazeti lake la RAIA MWEMA.
Mzee Ulimwengu namfananisha na Mzee kule Club House nahisi anaitwa "Abiud" yeye ata ukimuuliza nitajie zuri moja tu la Magufuli ye atakujibu hajawahi kuona hata punje ya zuri lake always kila alilofanya Magufuli lilikuwa baya.
Angalia kichwa cha habari cha gazeti la leo la Raia Mwema.