Fisadi kuwa mwandani wa Magufuli. Ndiko kwenye ishuKwani kutimba Takukuru na gari ya jeshi ni dhambi?
Hao wanaosifia wapo wazi kabisa kwamba ni mashabiki wa Magufuli au walikuwa wakimsifia kwa manufaa yao binafsi, ila watu aina ya Ulimwengu inaleta shida kujua anachofanya ni kukosoa au ni chuki aliyonayo kwa Magufuli.Kila mtu ana perception yake anapomzungumzia mwingine, ukiona Ulimwengu anakukera anavyomsema Magufuli vibaya kila siku, wapo jamaa huku hunsifia Magufuli kila siku, wasome hao.
Tujibu lipi maana unatuchanganya ujue,
Ulimwengu au Kakonko?
Umeolewa ? hilo swali utajibu je.hata yale uliyoilizwa na karani wa sensa jibu hapa,ukiona hujayaeleww haya.
Ni nadra Sana kumkuta Ulimwengu anamsema vibaya Nyerere ila Mkapa walikuwa na bifu kwa kiasi furani linahusiana na ukosoji wa mara kwa mara kutoka Kwa ulimwengu.Dini
Hujiulizi kwanini huwashambulia nyerere,mkapa na magufuli tu?
Ila Ulimwengu wa miaka ya tisini na 2000 alikuwa anaandika vizuri sana.Ni nadra Sana kumkuta Ulimwengu anamsema vibaya Nyerere ila Mkapa walikuwa na bifu kwa kiasi furani linahusiana na ukosoji wa mara kwa mara kutoka Kwa ulimwengu.