Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Hizo machine umezitoa wapi aiseee? Nikikutafutia Wateja kuna commission? Nyoosha kiswahili tuingie front
Heee umehamia kwenye udalali sasa
mh mkwara huuMbona biashara hii inakua ngumu Kwa Nini muuze zote kwa pamoja vp kama mtu anahitaji moja Kwa matumizi ya nyumbani
Mbona biashara hii inakua ngumu Kwa Nini muuze zote kwa pamoja vp kama mtu anahitaji moja Kwa matumizi ya nyumbani
Ukiuza samaki,nambie nije nikuungisheChezea magu wewe!..kaninyoosha mkuu
Haya bossUkiuza samaki,nambie nije nikuungishe
Aina ya papaHaya boss
Duh halafu tunasikia BIASHARA ngumu!SOLD
Duh halafu tunasikia BIASHARA ngumu!
Ngoja nijisemee "Mimi sina hela" ....... Kuna wana hela sio mchezoSOLD
Tena kama upepo umechange vile ..watoto wadogo sana ndo wana hela now..had mtu unapata hofu ya kutembea road!Ngoja nijisemee "Mimi sina hela" ....... Kuna wana hela sio mchezo