Jeneza lilivyokataa kuingia kanisani kimiujiza

kumbe na ww ni mtumishi hapo kanisani safi sana, ila mtumishi akiwa jf hatakiwi kuweka avatar kama uliyoweka unatakiwa tuone picha yako halisi maana hutakiwi kuweka vya uongo weka live.
kuweka picha yangu halisi huon kama ni kujitafutia kifo mkuu?
 
baada ya maombi akaingizwa tena ndani?
 
Yaani unataka kutuambia huko Sengerema hakuna watu wenye simu zenye kamera??!! Acheni uzushi kama wa kule wapi sjuwi mtu kageuka joka! Tukio kubwa kama hilo picha na video zingeshasambaa mtandaoni!
 
Hapana sio kwamba alikuwa na dhambi nyingi huwa kuna kitu mtu anatoa kama hitimisho lake siku atakapokufa labda asizikwe bila jeneza lake kumwagiwa pombe na ikitokea hamjamwagia jeneza pombe basi halitabebeka
So huyo huenda aliwahi kusema asipelekwe katika jengo la ibada ndio kitu kilichotokea
 
Hadithi yako nzuri na inamafundisho, lakini zaidi ya yote hata wewe urihusika ktk hatua zote za kuitunga.

Ahsante kwa ushiriki mwema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…