Jenga gorofa moja kwa gharama nafuu

So hapa ni kumaanisha juu una chumba kimoja cha kulala (cha mwenye nyumba) wengine watalala nyumba ya chini ok ni idea nzuri maana mtu unafanya kitu kulingana na uwezo.....ila akina dogo janja wanaweza laumu kimtindo kuwa ah dingi naye kaamua kukaa ghorofani peke yake.....
 
Ewaaa, dogo janjaaz wasubiri nizeeke nishindwe kupanda ngazi, na hapo labda wajukuu zao ndio walale juu maana wao watakuwa makwao.
Pamoja na kufanya kulingana na uwezo wangu wa kawaida ila napenda sana privacy. Nataka kujitenga na chini nikiwa nafanya kazi zangu, starehe zangu na ujinga wangu mwingine.
Kwa eneo plain 120m inaweza kutosha?
 
Naamini itatosha na pengine kubaki maana itategemea material utakayotumia na finishing kwa mfano nondo tani 1 BS 500 kamal steel wanauza 2,450,000 ukiwa na connection nondo kwa mfano kampuni ya MM Steel kwa tani utapata kw TZS 1,750,000 so unaona kabisa hilo gepu la bei japo naamin za kamal steel zina ubora mkubwa.
Nilichojifunza magorofa mengi ujengaji wake hauzingatii viwango kiviiile au yanajengwa kieconomy kwa hiyo hii inapunguza gharama...
Kuna ghorofa jamaa kajenga kwa 50M ila bila finishing juu ina Bedroom 3 balcony mbili, office na hajaweka jamvi dah nilishangaa sana nikaelewa ndo maana maghorofa yanaota kama uyoga.....
maghorofa mengi ya residential/commercial i.e. fremu unakuta wanatumia nondo za mm 12 kwenye nguzo cha ajabu zaidi unakuta zimewekwa pc 4 tu badala angalau ya 6 na kuendelea !
Kuna ghorofa inajengwa masaki now ipo ghorofa ya 3 kuelekea ya 4 nguzo zote imewekwa nondo mm 12....
 
hii imetulia mzeya....vipi full ramani naweza pata nikaangushe mjengo pale idodomya
 
Mkuu umemaliza kila kitu, hasa hapo kwenye mbuga za wanyama🤣 unapofikia mafanikio ni muhimu kujipongeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…