Jenga Greenhouse kwa gharama nafuu

GreenHouse gharama zake zikoje hadi kukamilika kwa mradi...hii kitu iko akili mwangu..
 
Last edited by a moderator:
Kipaji halisi, soma post zote utapata majibu. Watu washauliza sana hayo na majibu yako humuhumu, sasa hivi tunataka watu waliokwishaanza project watupe mlejesho.
 
Unajua hii ni fursa nzuri kwetu sisi vijana tunaoanza maisha ila nina maswali kidogo
1. Kwa sisi tuliozaliwa mjini kilimo kidogo kilitupitia kando has hii horticulture je mnatoa mwongozoa au mafunzo yeyote
2. Je jumla ya gharama zote ni kiasi gani maana hapo sijaelewa. namaanisha mtu anahitajika awe na mtaji kiasi gani mpaka hiyo greenhouse iwe tayari imeanza kazi. mchanganuo mfupi
3. Je inahitaji umeme maana huku tuliko wengine umeme ni changamoto
4. Ofisi zenu ziko wapi?

Nimevutiwa sana na natamani kuanza hii project mara moja fursa huwa hazicheleweshwi.
 
Huwa nasikiaga tu kuhusu hiki kilimo cha Kwenda juu,angani. Ila leo nimepata kujua vizuri. Am interesting subiri nijipange nikutafute tufanye business mungu akijalia uzima,afya na rehema.
 

Nitumie mchanganuo wa gharama please nimevutiwa na hii project:firstsaby@yahoo.com
 
aksante sana, hii kitu nimeipenda sana, itatutoa haswa watu waache kunywa kahawa vijiweni wakatumike tuinue uchumi wetu
 
Huyu jamaa kashapata wateja sasa anaringa kujibu sisi wateja wapya.kama kawaida yetu sisi wabongo kastama kea tanzania ni janga la taifa
 
Ni kweli hiki kilimo cha greenhouse kina tija nzuri sana. Kuna mdada mmoja ameacha taaluma yake ya uanasheria sasa anajishughulisha na hiki kilimo.
 
Ujenzi wa Banda la mfano umeshakamilika? Nataka nije nijionee kwanza kabla ya maamuzi. Na kwa kuwa ulisema unaiset kigamboni ni manufaa kwangu kwani nami nataka nianze mradi wangu hapo hapo kigamboni..
 
Huyu jamaa kashapata wateja sasa anaringa kujibu sisi wateja wapya.kama kawaida yetu sisi wabongo kastama kea tanzania ni janga la taifa

Jamaa nahisi kasitisha hii biashara, maana juzi kati alikua anauza vifaa vyake vya ndani, kesho yake akawa anapangisha Nyumba yake yenye GH ya mfano kule Mwikwambe, Kigamboni!!

Hizi ni dalili kua hatokuwepo nchini hivi karibuni
 
Jamaa nahisi kasitisha hii biashara, maana juzi kati alikua anauza vifaa vyake vya ndani, kesho yake akawa anapangisha Nyumba yake yenye GH ya mfano kule Mwikwambe, Kigamboni!!

Hizi ni dalili kua hatokuwepo nchini hivi karibuni

Imekuwaje tena. Biashara imekuwa ngumu? Angefanya ustaarabu wa kuaga kuliko kufanya kama kukimbia.
 
wadau, ningepata muwekezaj wa maana tungefanya hii biashara, nina shamba la ekari 30 liko karibu na ziwa victoria, tunaweza kulima nyanya na kulisha viwanda vya kusindika nyanya kenya, ukishakuwa na uhakika wa kuzalisha soko ni la uhakika!
 
Kipaji halisi, soma post zote utapata majibu. Watu washauliza sana hayo na majibu yako humuhumu, sasa hivi tunataka watu waliokwishaanza project watupe mlejesho.

Sio lazoma kusoma post zote, acha mwenye mada ajibu
 
Imekuwaje tena. Biashara imekuwa ngumu? Angefanya ustaarabu wa kuaga kuliko kufanya kama kukimbia.

Lahaulaa... sasa ushauri atatupa nani tukikwama kwa sie tunaojipanga kuingi GH?
 
Jamaa nahisi kasitisha hii biashara, maana juzi kati alikua anauza vifaa vyake vya ndani, kesho yake akawa anapangisha Nyumba yake yenye GH ya mfano kule Mwikwambe, Kigamboni!!

Hizi ni dalili kua hatokuwepo nchini hivi karibuni

Hata kama hayupo nchini si JF anaingia popote, basi tu siajabu anatuchora tu humu JF. Jamani kuna waliofanikiwa katika hili? tupeni mwongozo. Maana huyu jamaa katuacha njia panda
 
Hata kama hayupo nchini si JF anaingia popote, basi tu siajabu anatuchora tu humu JF. Jamani kuna waliofanikiwa katika hili? tupeni mwongozo. Maana huyu jamaa katuacha njia panda


Ukiona manyoya.......
 

Kaka na mimi naomba unitumie mchanganuo wa vifaa na gharama zake, naimani tutafanya kazi pamoja. Email yangu ni max.revocatus@yahoo.com
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…