His Eminence
Senior Member
- Sep 22, 2024
- 123
- 376
Kwa wadogo zangu wote ambao bado mnapambania ndoto zetu. Kama hauwezi kuwa single kwa miaka kadhaa ya kujitafuta basi uamuzi wa mwisho kabisa kuufanya angalao jitahidi kuwa na mwanamke mmoja tu(ingawa bado itakugharimu)
Mahusiano ni gharama sana kwa mwanaume, hasa katika kizazi hiki ambacho wanawake wamegeuza ngono kuwa ajira, wanataka kulipwa ili kuwa kwenye mahusiano wakati wao hawana output yoyote.
Lazima ufanye chaguo moja. Ukubali kuachana na ndoto yako ili ujenge mahusiano yako au kuachana na mahusiano ili ujenge ndoto yako.
Kumbuka kila chaguo lina consequences zake. Ukifika wakati wa kukabiliana na consequences za maamuzi yako nature haitakuonea huruma, nature haitajali sacrifices zako kwenye hayo mahusiano.
Ukinipa nafasi ya kukushauri nitakushauri kubali kuwa single kwa miaka kadhaa ili ufukuzie ndoto yako.
Kuingia katika mahusiano kutakufanya ugawanye muda, nguvu na hela zako vitu ambavyo ni assets muhimu sana katika mapambano yako.
Hicho kiasi kidogo cha hela ambacho kwa sasa hata wewe mwenyewe bado hakikutoshelezi, mwanamke akija kwenye maisha yako kitagawanywa na kwa ajiri yake pia.
The truth is, women are liabilities. They hardly enters a man's life to give you more peace or money rather they enter to take away the little you gathered, they enter to subtract from you, they enter to become another challenge for you.
The more you chase women the more you lose your respect and draining your resources. Just ignore them and build yourself.
Mahusiano ni gharama sana kwa mwanaume, hasa katika kizazi hiki ambacho wanawake wamegeuza ngono kuwa ajira, wanataka kulipwa ili kuwa kwenye mahusiano wakati wao hawana output yoyote.
Lazima ufanye chaguo moja. Ukubali kuachana na ndoto yako ili ujenge mahusiano yako au kuachana na mahusiano ili ujenge ndoto yako.
Kumbuka kila chaguo lina consequences zake. Ukifika wakati wa kukabiliana na consequences za maamuzi yako nature haitakuonea huruma, nature haitajali sacrifices zako kwenye hayo mahusiano.
Ukinipa nafasi ya kukushauri nitakushauri kubali kuwa single kwa miaka kadhaa ili ufukuzie ndoto yako.
Kuingia katika mahusiano kutakufanya ugawanye muda, nguvu na hela zako vitu ambavyo ni assets muhimu sana katika mapambano yako.
Hicho kiasi kidogo cha hela ambacho kwa sasa hata wewe mwenyewe bado hakikutoshelezi, mwanamke akija kwenye maisha yako kitagawanywa na kwa ajiri yake pia.
The truth is, women are liabilities. They hardly enters a man's life to give you more peace or money rather they enter to take away the little you gathered, they enter to subtract from you, they enter to become another challenge for you.
The more you chase women the more you lose your respect and draining your resources. Just ignore them and build yourself.