Jenga nguvu ya kufanya maamuzi

Jenga nguvu ya kufanya maamuzi

Peter Mwaihola

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2022
Posts
276
Reaction score
460
1. Fanya tathmnini ya kila uamuzi unaotaka kuufanya jua matokeo yake, faida na hasara pima uzito wa matokeo hayo kisha chagua njia sahihi ya kuamua kulingana na matokeo uliyoyapata.

2. Washirikishe watu ili kupata ushauri kisha pima ushauri wao ukilinganisha na tathmnini yako. Ila usipokee ushauri kutoka kwa washindani au adui zako watakupoteza.

3. Jipe muda wa kufanya tathmnini ya pili kwa kuhusianisha ushauri na matazamo wako juu ya jambo husika.

4. Chagua uamuzi sahihi na uweke mikakati namna ya kuutekeleza, usipokee tena ushauri.

5. Fanya uamuzi kisha subiri matokeo.

6. Jiandae kwa lolote litakalotokea liwe jema au baya, usijutie wala kulaumu.

Watu wengi hawana furaha kwenye maisha yao kwa sababu ya kukosa nguvu ya kuamua kuhusu mambo yao, huishia kuchanganyikiwa na kupata msongo wa mawazo.

Kuwa mtu mwenye uwezo wa kujisimamia

Peter Mwaihola
 
1.Fanya tathmnini ya kila uamuzi unaotaka kuufanya jua matokeo yake, faida na hasara pima uzito wa matokeo hayo kisha chagua njia sahihi ya kuamua kulingana na matokeo uliyoyapata.
2.Washirikishe watu ili kupata ushauri kisha pima ushauri wao ukilinganisha na tathmnini yako. Ila usipokee ushauri kutoka kwa washindani au adui zako watakupoteza.

3.Jipe muda wa kufanya tathmnini ya pili kwa kuhusianisha ushauri na matazamo wako juu ya jambo husika.
4.Chagua uamuzi sahihi na uweke mikakati namna ya kuutekeleza, usipokee tena ushauri.
5.Fanya uamuzi kisha subiri matokeo.
6.Jiandae kwa lolote litakalotokea liwe jema au baya, usijutie wala kulaumu.

Watu wengi hawana furaha kwenye maisha yao kwa sababu ya kukosa nguvu ya kuamua kuhusu mambo yao, huishia kuchanganyikiwa na kupata msongo wa mawazo.
Kuwa mtu mwenye uwezo wa kujisimamia
[emoji2398]Peter Mwaihola
Wakola weitu, thank u, wabeja, ulakoze chane
 
Yaani unataka kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi alafu unaomba ushsuri kwa watu?, Hahaha Mkuu hayo maamuzi si yatakuwa ni ya watu wala hayajatokana na nguvu/uwezo wako.

Ukitaka kuwa na nguvu/uwezo wa kufanya maamuzi, wewe fanya maamuzi. Yawe mazuri au mabaya wewe yafanye tu yatakufanya ukomae na usiogope kufanya maamuzi.
 
Yaani unataka kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi alafu unaomba ushsuri kwa watu?, Hahaha Mkuu hayo maamuzi si yatakuwa ni ya watu wala hayajatokana na nguvu/uwezo wako.

Ukitaka kuwa na nguvu/uwezo wa kufanya maamuzi, wewe fanya maamuzi. Yawe mazuri au mabaya wewe yafanye tu yatakufanya ukomae na usiogope kufanya maamuzi.
Soma vizuri, hapa nazungumzia maamuzi sahihi sio ya hovyo.
 
Back
Top Bottom