Kauli ambazo sintazisahau lowasa alisema akimnukuu mwalimu . Mwalimu alisema nchi hii ina amani watanzania wanajua na dunia inajua. PINDI AKIWA ANAJIUZULU akasema kamati teule ya mwakyembe imesafiri mpaka marekani lakini mtu ambaye wanamtuhumu na kumsema kwa kirefu mle hawajawahi kumhoji hata sikumoja. mheshimiwa mwakyembe ww ni mwanasheria unalifahamu swala la natural justice na ww mh; speaker na mwanasheria pia hata ulipo nilamba kisogo ukaniuliza una ushahidi kuhusu hili nilikupatia tena kwa maandishi lakuin ktk ripot ya mwakyembe hakuna ushahidi hata moja kutoka ofsi ya wazri mkuu. leo kuja hapa na kujenga hoja nikumchafua wazir mkuu na kumuondolea heshima au tumuwajibishe. lowasa akasema im the wish what im going to grant taitzo ni wazir mkuu .akasema nimetafakar xana nimeamua kumuandikia rais barua ya kuachia ngazi nafanya hivyo kwa moyo mweupe kabisa lakini na kutokukubaliana na jinsi kazi hiyo ilivyo fanyika ila kuonyesha dhana ya uwajibikaji tuendelee kuitekeleza ilani ya CCM. Huyu ndo kiongozi wa nchi. jengeni hoja acheni unafiki.