Jengo ambalo halikujengwa kuwa Godauni lisibebeshwe mizigo huko GHOROFANI

Jengo ambalo halikujengwa kuwa Godauni lisibebeshwe mizigo huko GHOROFANI

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
INASEMEKANA MAGHOROFA MENGI KARIAKOO YANATUMIKA KINYUME NA PLAN YAKE YA UJENZI..

GHOROFA linakuwa limejengwa kwa plan ya makazi hizo floor za juu lakini Kariakoo zinageuzwa kuwa magodauni ya kuhifadhia mizigo mizito mizito huko GHOROFAni..

GHOROFA la makazi estimated nondo zake ni kubeba watu kadhaa kwa hiyo floor ana fenicha ila Kariakoo sio hivyo unakuta floor moja imebeba mizigo iliyoshushwa kwenye semi trailer ya tani 40 na watu nao huwa huko juu wanunuao mizigo kwa bei ya jumla sasa hapo floor tatu za GHOROFA hilo zikibeba uzito huo what do you expect???

Inatakiwa Ukaguzi yakinifu ufanyike Kariakoo ama sivyo majanga haya yatakuwa ya kawaida kila siku
 
INASEMEKANA MAGHOROFA MENGI KARIAKOO YANATUMIKA KINYUME NA PLAN YAKE YA UJENZI..

GHOROFA linakuwa limejengwa kwa plan ya makazi hizo floor za juu lakini Kariakoo zinageuzwa kuwa magodauni ya kuhifadhia mizigo mizito mizito huko GHOROFAni..

GHOROFA la makazi estimated nondo zake ni kubeba watu kadhaa kwa hiyo floor ana fenicha ila Kariakoo sio hivyo unakuta floor moja imebeba mizigo iliyoshushwa kwenye semi trailer ya tani 40 na watu nao huwa huko juu wanunuao mizigo kwa bei ya jumla sasa hapo floor tatu za GHOROFA hilo zikibeba uzito huo what do you expect???

Inatakiwa Ukaguzi yakinifu ufanyike Kariakoo ama sivyo majanga haya yatakuwa ya kawaida kila siku

La kusikizia hivyo litakuwa jengo au nyanya?
 
Jamani waswahili hatunaga dogo! Aliyepata fursa ya kufika eneo la tukio au kuona mtandaoni atakubaliana na mimi kuwa hilo ghorofa lililoporomoka lilikuwa ni godown ya mizigo na wala sio makazi ya watu; hivyo kama halikujengwa kuhimili uzito wa tani za mizigo ya makonteina ya wafabiashara, kosa liko kwa mmiliki kubadili matumizi kutoka "residential kuwa godown"
 
Screenshot_20241119_095115_Chrome.jpg
 
Shida ilianzia kwa mafundi kule chini kwenye kuchimba, wale mafundi kuna sehemu walikuwa wanavunja wakidhani ni ukuta kumbe ni nguzo ndo matokea ni hayo
 
Kariakoo watu wanachukuliwaga kama mangombe tu 😄

Ova
Taarifa ya Zembwela alioiongea leo redion imenishtua sana.
Anasema zile nyumba za kariakoo nying zimechimbwa sana chini kwa chini toka upande mmoja had wa pili. Anasema hata ile bara bara ya mwendokas eti iko juu ya mahandaki muda wowote kinaweza tokea chochote..

Anasema et huu ni uhuni ambao unafahamika na wengi na kwa muda mrefu ila mamraka hazijawa zikitilia maanani suala hili
 
Hebu angalia hapa! Floor zote zimejaa mizigo yenye uzito wa matani
20241119_095740.jpg
 
Taarifa ya Zembwela alioiongea leo redion imenishtua sana.
Anasema zile nyumba za kariakoo nying zimechimbwa sana chini kwa chini toka upande mmoja had wa pili. Anasema hata ile bara bara ya mwendokas eti iko juu ya mahandaki muda wowote kinaweza tokea chochote..

Anasema et huu ni uhuni ambao unafahamika na wengi na kwa muda mrefu ila mamraka hazijawa zikitilia maanani suala hili
Hilo qatu walikuwa wanalijuwa kabla hata ya huyo zembwela kuongea...na mamlaka wanajuwaaa viongozi wanajuwa
Mameya madiwani wa ilala wanajuwa...
Ila rushwa rushwa rushwa
Watu wakipewa pesa tu mchezo kwisha
Ndomana tunasema najuwa siyo jambo jema lakini independent zaidi hizo gorofa 63 ambazo hazina viwango zingeangukaaa kwa wakati mmojaaaa
Nchi/watu/viongozi wangetiaa akili

Ova
 
Hilo qatu walikuwa wanalijuwa kabla hata ya huyo zembwela kuongea...na mamlaka wanajuwaaa viongozi wanajuwa
Mameya madiwani wa ilala wanajuwa...
Ila rushwa rushwa rushwa
Watu wakipewa pesa tu mchezo kwisha
Ndomana tunasema najuwa siyo jambo jema lakini independent zaidi hizo gorofa 63 ambazo hazina viwango zingeangukaaa kwa wakati mmojaaaa
Nchi/watu/viongozi wangetiaa akili

Ova
Duhh...Hzo handaki wanaishi watu au
 
Huu utaratibu wa kutumia haya magorofa ambayo yalijengwa kwaajili ya makazi kuwa store umeshasambaa almost mikoa yote mikubwa ya hapa nchini,kwahiyo ufuatiliaji ufanyike mikoa yote na sio Kariakoo peke yake.....
 
Wakati nafanya udalali,nliona hizo ghorofa za juu Kwa ndani,zinadesgniwa Kwa makazi,walikua wanaishi sana wahindi,wapemba miaka ya zamani.sa kighorofa Cha tangu miaka 20 ilopita lazima kiwe chakavu hii inapelekea hata kupangisha Tena kama apartment iwe ngumu sababu ya uchakavu,pia udogo wa eneo.na mda wa kukarabati hakuna.unakuta floor mbili za juu ni 2BHK apartment na huo uchakavu unaipangisha Kwa Kodi laki 4 ukilipwa miezi 6 mil2.sa imagine mwaka mzima unachuma mil 4 na bado kupata mteja ni mbinde.lazima waingiwe tamaa na kubuni ni namana gani ataingiza pesa kubwa,matokeo anavunja Kuta za apartment huko juu panabaki wazi anapageuza stool ya mizigo.hii kitu inademand kubwa Kwa WAFANYABIASHARA so maokoto ni uhakika hasa Kwa WAFANYABIASHARA wakubwa wa jumla.
Kibaya zaidi akaingia na chini ground floor na kuanza kubomoa Kuta Nako Ili apate nafasi za kupanua aweke store nyingine.maana fremu za mule vihela wanavyolipa ni vidogo compared na zilizo huku juu nje zinatamana na barabara zinalipa Kodi ndefu.kachokonoa msingi upande mmoja ukijumlisha na tani ilizobeba huko juu limeangukia kiupande.
TAMAA HIZI😔
 
Hilo qatu walikuwa wanalijuwa kabla hata ya huyo zembwela kuongea...na mamlaka wanajuwaaa viongozi wanajuwa
Mameya madiwani wa ilala wanajuwa...
Ila rushwa rushwa rushwa
Watu wakipewa pesa tu mchezo kwisha
Ndomana tunasema najuwa siyo jambo jema lakini independent zaidi hizo gorofa 63 ambazo hazina viwango zingeangukaaa kwa wakati mmojaaaa
Nchi/watu/viongozi wangetiaa akili

Ova
Inasikitisha sana.
Basi hili kwangu leo ndio nimelisikia na kuliona jipya kabisaaa
 
Back
Top Bottom