Jengo gani ni refu kuliko yote Jijini Dar es Salaam?

Kennedy

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2011
Posts
54,894
Reaction score
64,043
Nawasalimu wana JF!

Jiji la Dar kwasasa lina majengo mengi marefu, yenye kuvutia sana pia kufanya Jiji kuwa na muonekano mzuri. Miaka ya nyuma kidogo jengo la MAFUTA HOUSE (BENJAMIN TOWER) nadhani ndiyo lilikuwa refu, kwasasa naona maghorofa mengi mtaa wa OHIO km GOLDEN JUBILEE TOWER na mengine mengi. Jengo refu katika Jiji lina ghorofa ngapi pia linafuatiwa na lipi? Kwa upeo wa macho kama baadhi yanalingana ingawa najua lazima kuna tofauti.

Mwenye kujua tujuze na sisi.
 
Nadhani ni lile la SIMBA KAPAKATWA TOWER kwa sasa ndiyo refu.
 
Jengo jipya Bibi Titi Road kati ya BP Upanga na UNICEF, nimesahau jina.
 
Lile pale nyuma ya milenium towers sayansi.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Kuna ile blog ya skyscrappers za Tanzania:itasadia kujua ghorofa gani ni refu!
 
Jengo refu kwa sasa ni Uhuru Heights, lipo bibi Titi lakinilenye gorofa nyingi ni Vijana CCm pale Limumba
 
Jengo refu kwa sasa ni Uhuru Heights, lipo bibi Titi lakinilenye gorofa nyingi ni Vijana CCm pale Limumba

Duuh ccm lumumba vs jengo la ushirika! Mkuu ule mkono ulioshika mwenge lbd ndy inaongeza urefu.
 
Hii picha nadhani na wengine watujuze kama wanadhani lipo jingine.
 
Duuh ccm lumumba vs jengo la ushirika! Mkuu ule mkono ulioshika mwenge lbd ndy inaongeza urefu.

Wacha vichekesho wewe hiyo Umoja wa vijana inayoongelewa ni ile Twin tower mpya project ya Manji na sio kale kabehewa kenye mkono na mwenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…